Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
gwajima kamuvua kyupi dokita silaa
Tangu siku hiyo slaa sijasikia akilopoka
gwajima kamuvua kyupi dokita silaa
Gwajima yuko kwenye timu ya kampeni ya Lowassa. Alichokifanya pale ni mkakati wa kampeni wa Lowassa.
Kama huna la kuandika ni bora ukadowea dona na kushushia maji ya kandoro ukahesabu siku
Gwajima yuko kwenye timu ya kampeni ya Lowassa. Alichokifanya pale ni mkakati wa kampeni wa Lowassa.
Tangu siku hiyo slaa sijasikia akilopoka
Kweli hata ningekuwa mimi nisingejibu, kwa maana hakuna hoja ya kujibu. Hoja ni siasa si unyumba. Kwa maneno mengine Gwajima hakujibu kiini cha hoja. Sasa Dr angejibu nini?
Kama huna la kuandika ni bora ukadowea dona na kushushia maji ya kandoro ukahesabu siku
Watanzania tulitaka kujua ukweli kama slaa alitupiwa vilago nje na shemeji yetu
Pengine mwenzangu , Mmawia, hujaisikiliza ile Press c ya Gwajima. Maana kama ningekuomba utoe sammary ya alichokionge na uhusianishe na yale aliyoongea Dr Slaa si dhani kama nitakwambia huna cha kuandika. Tatizo ni uwezo wake wa kujibu hoja.
Nami nilikuwa na hamu ya kuchambua hoja zake, lakini naambulia kuokota udaku tu. Jamani tusipoziopnya kampeni namna hii Tanzania itarudi nyuma. Tafakari.
Hilo la kutupiwa vilago si tatizo, binafsi nimeshafanyiwa hivyo sijui mwenzangu? Nasijui wangapi wametupiwa virago nje hapa JF? Ninaimani ni zaidi ya nusu, haya ni mambo ya ndani wala si ya kuwa kichwa cha habari ninapofika kazini kwangu.
Gwajima amesema hivi "Roketi ranger(Dr.Slaa) iliyotumiwa na CCM ili kusambaratisha ukawa, risasi zake zimemkosa adui, na moto umewaunguza wenyewe"
Ndio maana unamtetea sana slaa
Hatuhitaji kupaka mafuta maneno,tunahitaji mabadiliko tu
Natetea kutenganisha UDAKU NA SIASA. Yaani mambo ya JIKONI na siasa. Sasa twende BARAZANI tukajadili siasa, na ya jikoni tuyaache jikoni.
Ni kweli kabisa, MABADILIKO, ndio neno sahihi, na hapo tupo pamoja. Tunapotofautiana ni mabadiliko gani tunayataka watanzani, yale ya GWAJIMA ya udaku wa JIKONI au ya matatizo ya watanzania? Jibu analo kila mtanzania.
Gwajima anafikiri watanzania ni wajinga kila watachoambiwa na Askofu watafuata, amepotea. Yaweza kawapata wengi katika kanisa lake, lakini huu ni uwanja tofauti. Huu ni uwanja wa SIASA, ambao msikilizaji si tu anasikiliza na kukubali kama kule kanisani kwake bali tutahoji mara 1000. Hiyo ndio tofauti.
Akili za namna hiyo hawana, hajui kwamba watu wa usalama wa Taifa wako light years ahead of themona tunavyosapoti ujinga... amekuja hadi na ushahidi feki!! katengeneza sms akasahau kuedit tarehe... tunawapa airtime watu wasio na maana badala ya kusikiliza sera za mgombea