Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

..km Dr angekua bado na upako wa upadri Mungu angemuongoza kupata mke mwema,inavyoonekana kitendo cha kuvunja kile kiapo kimeshamuharibia ukaribu wake na Mungu wake..
 
me sijasikia kama Gwajima amemjibu Slaa nilichosikia Gwajima kamshambulia kwa maneno Dr Slaa na familia yake ufafanuzi tafadhari kwa mwenye taarifa kamili Gwajima kasemaje??

= tafadhali
 
me sijasikia kama Gwajima amemjibu Slaa nilichosikia Gwajima kamshambulia kwa maneno Dr Slaa na familia yake ufafanuzi tafadhari kwa mwenye taarifa kamili Gwajima kasemaje??

mkuu ndivyo hivyo hivyo nashangaa hata magazeti eti gwajima amjibu slaa kweli.
waandishi ni shiiiiiiiiidaaaaa!!!!!!
 
Baada ya kuwasikiliza Prof Baregu, Kitila Mkumbo, Tundu Lisu, JJ Mnyika na hatimaye mchungaji Gwajima nimeridhika kabisa kuna jambo si la kawaida limempata Dr Slaa. Laweza kuwa la kiimani au kidunia lakini impact ya jaribu hili limestua taifa.

Ninachotafiti ni juu ya tabia ya Slaa je katika historia ya maisha yake je ' Dr Slaa ni mkweli na mwenye msimamo au si mkweli na ni mtu wa kuyumbishwa' ! Unaweza kutoa hoja au unachokijua kusaidia utafiti huu.

Ahsante na karibu!
 
Wanajamvi, mimi siyo mwanasiasa na sina chama. Nimeona ujumbe mfupi wa sms uliotoka kwa daktari kwenda kwa Gwajima, na mengine mengi ambayo hayajanibariki. Hata hivyo ni kama majibu ya Gwajima kwa Dr. Silaa ambayo nahisi yeye(Dr) alidai watu waliotuhumiwa na press conferrence yake wajitokeze na kukanusha.
Ombi: Dr, huwa nakuaminia kwa weledi wako katika kujenga hoja, naomba ujitokeze tena hadharani umjibu pastor Gwajima.

Weledi wa kujenga hoja gani unauzungumzia? Hoja za kumridhisha kimada Bi. Mushumbusi?
 
me sijasikia kama Gwajima amemjibu Slaa nilichosikia Gwajima kamshambulia kwa maneno Dr Slaa na familia yake ufafanuzi tafadhari kwa mwenye taarifa kamili Gwajima kasemaje??

1-Dr Slaa alimtaja Gwajima kwamba amesema maaskofu wamehongwa, ulitaka hilo asilijibu?
Amjibu kwamba sio kweli.
2-Slaa alisema sababu ya yeye kuondoka ni ujio wa Lowasa na Gwajima akiwa mchenga, hilo amejibu
Sababu ni hawara wa slaa alimwambia asirudi chadema. tutaamini vipi maneno ya Gwajima, ndio maana akaonyesha sms ya slaa akisema anaacha siasa kwasababu ya familia yake na mlinzi alitoa ushahidi wa kilichotokea.
 
Wanajamvi, mimi siyo mwanasiasa na sina chama. Nimeona ujumbe mfupi wa sms uliotoka kwa daktari kwenda kwa Gwajima, na mengine mengi ambayo hayajanibariki. Hata hivyo ni kama majibu ya Gwajima kwa Dr. Silaa ambayo nahisi yeye(Dr) alidai watu waliotuhumiwa na press conferrence yake wajitokeze na kukanusha.
Ombi: Dr, huwa nakuaminia kwa weledi wako katika kujenga hoja, naomba ujitokeze tena hadharani umjibu pastor Gwajima.

Subutu ajibu!! allafu Gwajima aje atoe na siri Dr alivyopewa hela south Africa.na a/c zilipo wekwa pesa.
 
Magazeti yote leo ni Gwajima kasoro Magazeti ya CCM....
Magufuli jana kaongea weee ila hajaonekana front page kabisa
 
1-Dr Slaa alimtaja Gwajima kwamba amesema maaskofu wamehongwa, ulitaka hilo asilijibu?
Amjibu kwamba sio kweli.
2-Slaa alisema sababu ya yeye kuondoka ni ujio wa Lowasa na Gwajima akiwa mchenga, hilo amejibu
Sababu ni hawara wa slaa alimwambia asirudi chadema. tutaamini vipi maneno ya Gwajima, ndio maana akaonyesha sms ya slaa akisema anaacha siasa kwasababu ya familia yake na mlinzi alitoa ushahidi wa kilichotokea.

Nikilejea maneno ya baadhi ya viongozi wa Chadema kama Mwenyekiti wake Freeman Mbowe na Mh Tundu Lissu na nikijafananisha na ya Gwajima naona yanapishana…!! Mf

Mbowe:- Siwezi kukataa mtu ambae ataniletea watu maelfu sababu ya mtu ambae anawatu 24 nitakuwa mwendawazimu…!!!

wakati mwingine yakupasa kubadiri gia angani…!!!!

Lissu:- Hawezi kutuwekea masharti ya kumpokea mwanachama…!!! na Dk alimjibu Lissu akapitie ibara ya 10 kwenye katiba ya chama juu ya sifa za kuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema.

Gwajima:- Kutoka kwa Dk Slaa Chadema si sababu ujio wa Lowassa la Hawara yake ndio chanzo na msg akaonyesha ya tarehe 18/07/2015 wakati matukio ya purukushani wakina Lissu wanadai ya tarehe 26/07/2015 usiku…!!!


Hapa ukijaribu kuangalia kwa makini unaona kabisa tunachezeshwa ngoma ambayo hatuijui nasi twakubali kirahisi tu kuicheza japo nabaki na maswali kama tatizo ni mkewe kwanini atishiwe maisha…!!!!????
 
Nikilejea maneno ya baadhi ya viongozi wa Chadema kama Mwenyekiti wake Freeman Mbowe na Mh Tundu Lissu na nikijafananisha na ya Gwajima naona yanapishana…!! Mf

Mbowe:- Siwezi kukataa mtu ambae ataniletea watu maelfu sababu ya mtu ambae anawatu 24 nitakuwa mwendawazimu…!!!

wakati mwingine yakupasa kubadiri gia angani…!!!!

Lissu:- Hawezi kutuwekea masharti ya kumpokea mwanachama…!!! na Dk alimjibu Lissu akapitie ibara ya 10 kwenye katiba ya chama juu ya sifa za kuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema.

Gwajima:- Kutoka kwa Dk Slaa Chadema si sababu ujio wa Lowassa la Hawara yake ndio chanzo na msg akaonyesha ya tarehe 18/07/2015 wakati matukio ya purukushani wakina Lissu wanadai ya tarehe 26/07/2015 usiku…!!!


Hapa ukijaribu kuangalia kwa makini unaona kabisa tunachezeshwa ngoma ambayo hatuijui nasi twakubali kirahisi tu kuicheza japo nabaki na maswali kama tatizo ni mkewe kwanini atishiwe maisha…!!!!?
 
Tuache utani hii Post imefikisha Viewers 87000 sio mchezo...
 
hata lowasa inabidi awe makini na huyu mcongomani,asiwe anaropoka bila tahadhari,maana ngwajima anadai kurecord ndo kazi yake....

ananikumbusha enzi nasoma middle school,miaka ya 1960 Kulikua na mkurugenzi wa FBI kule marekani aitwa J Edga Hoover,huyu alikua na siri za karibu kila kibosile,kina kenedy,jack ,robert,ford etc,,,
matokeo yake wakawa wanamuogopa na alikua katika nafasi nzuri ya kuwablackmail,
hi ni hatari sana kwa usalama wa taifa
 
Dr alisema Gwajima amemwambia baadhi ya maaskofu wameongwa alichotakiwa kufanya ni kukanusha kwamba sio kweli yeye hakusema badala yake anatuambia slaa anasingizia maaskofu slaa amemnukuu yeye. Slaa alisema Gwajima alikuwa mshenga wa lowasa hilo hajalikanusha amekulibali
 
Back
Top Bottom