Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Huyu mchungaji Ana maswali ya ajabu.....tumsikie
 
Duuuuh.......yamekuwa malumbano ya kidini sasa
 
Kuna watu wanaleta ushabiki mandazi dr slaa na wanalumumba walishajibiwa kma wana ushaid wapeleke mahakamani hawani washut up!anachofanya gwajima nikujibu shutuma za dr mihogo
 
Kumshambulia mtu on personal issues, ni dalili ya udhaifu wa mtu!
Mchungaji kabugi saaaanaaaaa.
 
:smokin::smokin::smokin::smokin::smokin::smokin::smokin::smokin::smokin::smokin: Let me finish my weeeeeed
 
Kuna watu wanaleta ushabiki mandazi kwenye hoja za msingi dr slaa na wanalumumba walishajibiwa kuwa kma wana ushaidi waende mahakamani gwajima anachofanya nw nikujibu mapigo cz dr mihogo alimshambulia personall.
 
Kukaa kimya kumewasaidia sana kina Prof Baregu na Prof Safari, kwangu mimi hawa ndio wana siasa wa mfano ndani ya CDM
 
upuuzi mtupu..ndio mjue wachungaji wa makanisa fake ya kupiga dili..mchungaji intimate na wanasiasa, wafanyabiadhara wakubwa watabiri, hadi waganga wa kienyeji wakubwa. ni mshenga kuadi muongo etc, the whole episode is a planned drama. kuna kila sababu ya kuweka mamlaka ya ku regulate uendeshaji wa shughuli za kidini.

Mkuu kwani hao uliowataja hawawezi kuwa washirika wake?

Hawezi wafuatilia awaongoe?

Nauliza tu
 
Usalama ni usalama wa nchi siyo usalama wa CCM.Gwaa anawaonya Maafisa Usalama.

Hili ndo la msingi ukiacha mipasho aliyompa dr mihogo,usalama wanatakiwa wawe kati,kitendo cha usalama kumpeleka silaa serena ,mara star tv mara kwa tido mhando ni kitendo kibaya sana,wanadhani wanamsaidia magufuli kumbe ndo wanamuharibia,hapa kanena ukweli sana,
 
toka lini gwajima anawaheshimu maaskofu wa kanisa katoriki au anasahau yeye ndie alimtukana baba askofu kadinali Pengo, halafu anajifanya anajua sana maana ya ndoa lakini anasahau yeye ni mtuhumiwa wa kuivunja ndoa ya Flora Mbasha bahati mbaya waandishi huwa wanaenda kama masanamu wanashindwa kuuliza maswali
 
Kiongozi wa kiroho anazungumzia matatizo ya ndoa za watu kwasababu ya siasa ......Alafu badala ya kuja kukanusha maswali ya Dr Slaa anakuja kusema mambo ya ndani ....haya ndio matatizo ya uaskofu wa kupeana na mkeo .....maadili zero ....

Ngojeni kwanza sindano ziwaingie vizriiiiiiiiiii.

Mbona hamkusema kwamba Dr Slaa alikosea pale alipoacha Upadre na kutumikia SIASA...?


MBOWE naye anayake ya kuongea ifikapo Tar 24/10/2015.!!
 
Back
Top Bottom