Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,856
Jamani hii ya kutoa siri za matatizo ya WAUMINI linaondoa kabisa credibility ya hawa wachungaji.
Katika harakati za kuipigania heshima ya mtu mweusi huko America hata Bishops walitumika.
Jamani hii ya kutoa siri za matatizo ya WAUMINI linaondoa kabisa credibility ya hawa wachungaji.
Fwest Lady kamwalibia mzee
mkutano wa gwajima waandishi wameonekana kumshangilia Lowasa na kuamua kumzomea muuliza swali ambaye hakupangwa pale alipombana gwajima! Huyu mtu analitakia nini taifa hili?
Kwani Slaa alivyomtaja Gwajima alimtaja kama mchungaji au ni kada wa Chadema??Mimi simuelewi kabisa huyu Gwajima, sasa yy ni mchungaji/au ni kada wa Chadema, anaongea mambo ya kisiasa kabisa na kutetea hija za kisiasa wakati yeye ni mtu wa dini, au ndo ametumwa na CHADEMA katika harakati za kuzima hoja za Slaa, anajimaliza kabisa kiroho, na wala waumini wenye uelewa wasigeweza kumuamini tena....ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu ampe Mungu
Mkuu huu ndo mustakabali wa nchi hii,hatuna ajenda zaid ya kuvuana nguo
Huku Gwajima amechemkaaaaa.....amei personalisr hii issue
Jamani hii ya kutoa siri za matatizo ya WAUMINI linaondoa kabisa credibility ya hawa wachungaji.
Huku Gwajima amechemkaaaaa.....amei personalisr hii issue
Huku Gwajima amechemkaaaaa.....amei personalisr hii issue