Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Lowasa na fedha zake wanaitumbukuza nchi vitani, inakuwaje waandishi wanaonyesha wazi kumshangilia na kuzomea wenye mtazamo tofauti? Si kawaida waandishi kushangilia upande wa Lowasa kama vile nao ni wakereketwa! Jamani fedha zinaangamiza taifa! Gwajima ameonyesha wazi analipwa na Lowasa eti ooh Lowasa ananisaidia nikimuita anakuja haraka! Wapi?

Hao sio waandishi, kaleta wauumini wake waje kumshangilia
 
Nakiona kile ambacho kilijitokeza 1995 kwa kakobe ndicho kinachojitokeza,

Ki maadili, mchungaji haruhusiwi kutoa mambo ya familia za watu puplic, ametaja pia swala la liz 1
Sina uhakika kama hayo aliyoyasema ni yake..

Huenda anafanya compan ila hatari yake anapaswa kuwa na akiba ya maneno,

Dr, alisema kama ni kweli.. hakusema wamechukua..
Hakuwataja waisilam hum ndan yy kawataja..

Ninaamin sasa kuwa kwel alitembea na flora, na akamtengenezea kasi..

Ila mwisho wa mambo haya ni octoba 25,

Hamjapewa nchi mnakuwa na jeuri je mkipewa si ndo itakuwa balaa??

Tulia sindano iingie vizuri.
 
Mbona yeye amevunja ndoa ya Emmanuel Mbasha hawajamuitia press conference?
 
mm ni mktisto but huy jamaa nimetokea kumtoa kichwan kabisaaa cjui katumwa na nani
 
leo maaskofu wamekuwa wazuri wakati alimtukana Askofu Pengo kama motto mdogo? hana credibility ya kuongea huyu, mtu mwenye uwezo wa kumtukana mzee ambaye ni sawa na baba yake kama Askofu pengo, hawezi kuongea lolote la maana.
So far anaongelea maisha binafsi ya Dr. Slaa ambayo hatuyahitaji hapa (maana kila mmoja ana maisha ya mahusiano ambayo sio masafi), tunataka ajibu hoja kama ni kweli aliunganisha mchakato wa Lowasa kuhamia huko. kama issue ni kuachana na mke na kuwa na mke mwingine, mtafuteni mwenyekiti wa chama chenu mumuulize mkwe alivyompiga bao ustawi wa jamii na ndoa kutupwa kule kule sababu ya ufuksa wake.
 
Dr. slaa hatakuwa na nguvu ya kuongelea tena personal issues nguvu yake imevunjwa leo

Kabisa kabisaaaaaa! 😂😂😂✌✌✌✌kwanza ameshashiba MAPESA ya Lumumba huko sidhani kama atakuwa na hamu ya kumjibu Gwajima.
 
Hivi kuna mtu anaweza kufanya kitu kama hichi?
Wakati mwingine jamani tuone aibu
Si hawa ndiyo waliosema kuwa ni CCM ndiyo waliompeleka Slaa pale Serena?

Leo inakuja kuwa ni Josephine!
Hahahaha!


Unapaswa kujiongeza na kutumia akili zako za kawaida. Wewe umeshaambiwa kwamba mambo yote kuna delila. Kama ccm imelipa fedha za Serena hotel, kwa nguvu ya delila, kwa nini dlila asiweze kufunga mlango wa hotelini?

Umeambiwa delila alimtupia mabegi nje, kama angelikuwa na nguvu za kiume kama sisi hapa, kwa nini hioy hali hakuicomfront?

Kama alilala kwenye gari na kuamrishwa achague "uraisi kupitia UKaWA / Kuondoka CHADEMA na kufuata analotaka Delila na ndoa" au "Kuendelea na mipango yake ya kumnyima delila u first lady LAKINI NDOA IOTE MBAWA" na Dr. kwa kukosa weledi kwenye masuala ya ndoa akachagua Josephine na kusaliti taifa, Kwa nini leo unahoji taarifa kwamba anaishi umatekani?

You have to be serious.

Labda tu kwa wazazi wenye watoto wa KIUME, NI VYEMA KUWAOMBEA WATOTO WETU TENA KUOMBA KWA BIDII JUU YA SUALA NA WAKE ZAO MAANA HII YA SLAA NI HATARI KWA MAISHA YA DR. SLAA NA TAIFA KWA UJUMLA!.
 
Kwanza hata huyo Dr watu walimpa attention siku ya press yake na waandishi kwa vile alikua bado katibu wa chama, sasa hivi hata akiitisha tena press hana mvuto na sidhani kama atakua tena na ujasiri wa kuongea na waandishi hasa baada ya kujua nguvu iliyokua nyumba ya ule uamuzi wake na nia yaje ya kupambana na mgombea wa ukawa. He lost the battle!
 
leo maaskofu wamekuwa wazuri wakati alimtukana Askofu Pengo kama motto mdogo? hana credibility ya kuongea huyu, mtu mwenye uwezo wa kumtukana mzee ambaye ni sawa na baba yake kama Askofu pengo, hawezi kuongea lolote la maana.
So far anaongelea maisha binafsi ya Dr. Slaa ambayo hatuyahitaji hapa (maana kila mmoja ana maisha ya mahusiano ambayo sio masafi), tunataka ajibu hoja kama ni kweli aliunganisha mchakato wa Lowasa kuhamia huko. kama issue ni kuachana na mke na kuwa na mke mwingine, mtafuteni mwenyekiti wa chama chenu mumuulize mkwe alivyompiga bao ustawi wa jamii na ndoa kutupwa kule kule sababu ya ufuksa wake.

Hii ni siasa na siasa ni ghiliba kuchafuana na kutoleana siri ni mbinu ni propaganda
 
Back
Top Bottom