kitaboy
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 341
- 1,209
Zipi zingine utakazo? Mbona mamilion tumesema hapana katika chanjo! Wazazi wako standby dhidi ya watoto wao siku hizi ukiingi shule yoyote hakikisha hujashikilia kigaloni mkononi, ama koti la kuwaconfuse wakulungwa ama usiingie na gari hasa hizi land lover kimia kimia ndani ya dk chache wazazi washatia timu shuleni kuhakikisha watoto wao wasijelambwa JJ okocha! Haya ww unaepinga hayo huyaoni.Kitendo cha kuikashifu serikali kila kukicha kwa maamuzi yake maana yake ni kumkashifu kiongozi wake,kwani asiyetaka kuchanjwa ni yeye tu mbona hatusikii hizo kelele kutoka kwa wengine? Ana lake jambo huyo mbwa.
Sent using Jamii Forums mobile app