Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,240
Aitaka serikali kuongea na manabii wanaodai kufufua wafu ili wafufue wapendwa wetu?
===
Mbunge wa Mtambwe (ACT-Wazalendo), Khalifa Mohamed Issa amehoji "Serikali haioni wakati umefika kukaa na manabii wanaodai kufufua waliokufa, ili kuweza kuwafufua wapendwa wetu." N/Waziri Mambo ya Ndani, Khamis Hamza Chilo, amejibu akisema "tutawaelimisha ili tuondoe migogoro."
===
Mbunge wa Mtambwe (ACT-Wazalendo), Khalifa Mohamed Issa amehoji "Serikali haioni wakati umefika kukaa na manabii wanaodai kufufua waliokufa, ili kuweza kuwafufua wapendwa wetu." N/Waziri Mambo ya Ndani, Khamis Hamza Chilo, amejibu akisema "tutawaelimisha ili tuondoe migogoro."