Askofu Bagonza anahudumu Kanisa gani na kwanini anajihusisha na Siasa za moja kwa moja?

Hahahaaa

CCM ndio hamumpendi,ila Gwajima yeye ni askofu pia tena na Ubunge kagombea!

Kati ya Bagonza na Gwajima nani anashiriki siasa moja kwa moja?

CCM bwana,you motherfvckers are in a chronic paranoia!

Sijui mpoje yaani
Pengo na marasusa ni makada wa CCM hata Bakwata wengi akiwemo Shekhe wa mkoa wa Dsm anayeshinda kutwa yupo Lumumba CCM
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!
Vipi wale ambao huwa wanakuwepo kwa mzee wa chattle?? Ukiachila mbali aliyeamua kabisa kugombea kule kawe..
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!
Hata kakobe na yeye alikuwa hivo hivo
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa kifupi DAWA IMEPENYA
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!
Sioni kwa nini roho ikuume baba askofu anapomtia moyo mtetezi wa haki anayeonesha bidii.

Mbona wale viongozi wa dini unaowapenda walioendesha mkesha wa kumsifu mh. Rais hukusema hali ya kuwa inaosha dhahiri wanafurahishwa na utawala huu na jinsi haki za waumini wao kuhujumiwa?
 
Ahsante kwa ushuhuda wa picha bwashee!
Mojawapo ya kitu kilichopelekea utawala wa awamu ya tano kuchukiwa sana ni kuwanyima watu uhuru wa kushabikia vyama hasa viongozi wa dini mpaka kupelekea baadhi ya viongozi wa Bakwata Roman kkkt Angilikana na makanisa mengine kuamua kujipendekeza CCM kinafiki ili wapate kuishi kwa unafuu ingawa moyoni wanaumia sana.
 
Yule Askofu wa Ngara(Katoliki) aliambiwa alete makaratasi yanayomtambulisha kama Mtanzania,,,, Huyu Bagonza sijui kifuatacho
 
Sioni kwa nini roho ikuume baba askofu anapomtia moyo mtetezi wa haki anayeonesha bidii.

Mbona wale viongozi wa dini unaowapenda walioendesha mkesha wa kumsifu mh. Rais hukusema hali ya kuwa inaosha dhahiri wanafurahishwa na utawala huu na jinsi haki za waumini wao kuhujumiwa?
Shekhe wa mkoa wa Dsm kutwa yupo makao makuu ya CCM na zamani alishinda kwa RC makonda
 
Huyu Bagonza anaharibu siasa. Kiongozi wa dini hapaswi kufanya siasa za kichochezi
Afanye siasa za kumsifia Mgombea wa CCM tu kama wanavyofanya Gwajima,Zee Levi la Upako,Gamanywa,Askofu Pengo,etc?

Akimsifia Magufuli na CCM basi sio siasa za uchochezi,ila akisifia chama ambacho si CCM ni uchochezi...

Mavi ya Lowassa!
 
Bagonza ni wa kanisa katoliki, na kwenye kila mkutano huwa tunakuwa na viongozi wa imani zote kwa ajili ya maombezi.

Una swali lingine Comrade?
Bagonza ni katoriki?..

Yuke ni KKKT, tena wakati wa korona kalijishaua kufunga makanisa katika dayosis yake wakati wenzie wanasisitiza kuchukua tahadhari huku wanaomba...

Ni kadikteta kwenye dayosisi yake ajabu.

Kwa Bagonza phd yake ndio kila kitu wengine wote takataka. Kana majivuno na kabishi sana na fikiri uhaya na ule ufupi unachangia.
 
Back
Top Bottom