Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hebu punguza jazba mataga.Bagonza ni katoriki?..
Yuke ni KKKT, tena wakati wa korona kalijishaua kufunga makanisa katika dayosis yake wakati wenzie wanasisitiza kuchukua tahadhari huku wanaomba...
Ni kadikteta kwenye dayosisi yake ajabu.
Kwa Bagonza phd yake ndio kila kitu wengine wote takataka. Kana majivuno na kabishi sana na fikiri uhaya na ule ufupi unachangia.