Askofu Shoo na Bagonza waanza mkakati wa kuwaondoa maaskofu, wachungaji wasiojihusisha na siasa. Wavunja Katiba kumuondoa Dk. Mwakitali Jimbo la Konde

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,983
20,634
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Mwaikali mshenzi tu askofu gani anataka kujiona yeye ni zaid ya taasisi inayo mlipa? Kajaa kiburi, jeuri , majivuno na kila aina ya uchafu.

Huenda mnao mtetea mwaikali hamumjui au mlikuwa na maslahi naye lakini hafai kuwa askofu yule ana mambo ya hovyo kabisa namfamu kwa sababu nimesha fanya naye kazi .
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Uzi ukishakua na CDM ni utopolo napitaa tu
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Hao ni watumishi wa Mungu kama wanachezeana rafu mwajili wao atawaadhibu.
Kwako wewe una ushahidi wowote kuonyesha wanataka kuwapa chadema mimbari wafanye siasa????
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Poor you!
 

Attachments

  • twitter_20220322_213810.mp4
    663.1 KB
Kwa hiyo mkutano mkuu wa dayosisi ya Konde wote ni Chadema? Kwasababu alienguliwa na zaidi ya kura 90%

Huyo mchumia tumbo na nyie wafuasi wake si mkafungue kanisa lenu aisee
 
Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. N
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Rubbish 🚮🚮🚮🚮
Wewe utakuwa mchawi, siyo bure🙄
 
Kwa hiyo mkutano mkuu wa dayosisi ya Konde wote ni Chadema? Kwasababu alienguliwa na zaidi ya kura 90%

Huyo mchumia tumbo na nyie wafuasi wake si mkafungue kanisa lenu aisee
Wajumbe wa mkutano walikuwa wanaokotwa tu barabarani
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.

Habari kama hizi danganyaneni na kina Phillipo Bukililo huko
 
Askofu Dk Shoo na Bagonza wanajitambulisha kama vinara wa kupenda haki na kutii katiba, katika Jimbo la Konde, wamedhihirisha rangi yao, wamevunja katiba ya kanisa ili kumuondoa Askofu Dk. Mwakitali.

Dk Mwakitali ni moja ya maaskofu wa KKKT ambao wamejikita katika kazi ya kichungaji zaidi na sio udalali wa kisiasa wa kutafutia wanasiasa nafasi za uongozi.

Kuna madai kwamba Bagonza na Dk Shoo wameandaa mkakati wa "kufagia" viongozi wa dini katika kanisa Hilo ambao wanajifanya wanashughulika na kazi ya uchungaji zaidi kuliko Siasa. Na wanataka wanasiasa, hasa viongozi wa CHADEMA, wapate nafasi ya kuhubiri Siasa Kila jumapili katika makanisa yote nchini ili chama hicho kichukue dola, na kisaidie kanisa Hilo kujiimarisha dhidi ya makanisa mengine.

Kama wanashindwa kutii katiba ndani ya kanisa, hawana mamlaka ya kusemea katiba ya nchi, charity begins at home. Hata katiba mpya wanayosemea Kila siku, wakipewa uongozi wa nchi pamoja na wenzao wa chadema, wataikiuka tu.
Pumba kama ubongo wako
 
Wajumbe wa mkutano walikuwa wanaokotwa tu barabarani
Hivi askofu shoo na malasusa ni nani alikuwa mhusika mkuu kwenye huo mkutano? Maana umekimbilia kumtaja Shoo wakati yeye alienda kiprotokali lakini Malasusa ndiye Mkuu wa usuluhishi huo.

Binafsi sio muumini wa KKKT lakini nimefuatilia vizuri tangu mwanzo chanzo mgogoro huo na muenendo wake

Naweza kusema huyo Mwaikali amekosea busara na hekima kama mchungaji mkuu wa jimbo.
Unapotaka kufanya jambo shirikisha Watu maana kanisa sio Mali yako.
Haiwezekani Watu wakatae kuhamisha makao makuu Wewe utumie ubabe kuhamisha. Halafu hakukuwa na wa tu wengi wanaounga mkono kuhama kama waliopinga ndio maana hata kura zimemkataa.

Vox populi vox Dei
 
Back
Top Bottom