Askofu Bagonza anahudumu Kanisa gani na kwanini anajihusisha na Siasa za moja kwa moja?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Nimemuona mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

2525824_20200921_200947.jpg

Maendeleo hayana vyama!
 
Askofu KKT jimbo la Karagwe mwanafalsafa nguli. Yeye huongea kwa falsafa zaidi pasipo kumdaka kisheria kama unaelewa kisheria. Yeye kukumbatiana na Lissu ni kama mwananchi wa kawaida.

Furaha aliyoionesha imetokana na yy kuamini zaidi kuwa Mungu yupo nasi daima tukimtumaini. Vipi kuhusu wale viongozi wa dini waliokusanywa Julius Nyerere convetion centres kwa posho za wiki nzima kusifu na kuimba mapambio ya JIWE. Mbona hujauliza hao
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!

CCM Mpya wao huita viongozi wa kidini na kuwahutubia kila mara, lakini hawa viongozi wachache wa kidini wanaoamini katika Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu imekuwa nogwa wakikutana na upande mbadala usio wa CCM Mpya !

.................................................................................

22 September 2020
Karagwe, Tanzania

Askofu Bagonza ...uchaguzi huu wa 2020 ni uchaguzi wa Mitano kwanza v/s Mitano tena hivyo wananchi fanyeni uamuzi wa busara kwa kuchagua kiongozi asiyeona haya (aibu) kusema na kutenda HAKI

 
Askofu KKT jimbo la karagwe mwanafalsafa nguli. Yeye huongea kwa falsafa zaidi pasipo kumdaka kisheria km unaelewa kisheria. Yeye kukumbatiana na Lissu ni km mwananchi wa kawaida. Furaha aliyoionesha imetokana na yy kuamini zaidi kuwa Mungu yupo nasi daima tukimtumaini. Vipi kuhusu wale viongozi wa dini waliokusanywa Julius Nyerere convetion centres kwa posho za wiki nzima kusifu na kuimba mapambio ya JIWE. Mbona hujauliza hao
Nimekuelewa bwashee..... Ngoja nipitie katiba ya KKKT!
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!

Mbona ccm inapigiwa chapuo wazi wazi na hao hao wakubwa zake...??
Hivi hii dhana ya ccm kutaka kila mtu awe upande wenu mnaipata wapi kwa maovu mnayoyatenda...???
Hivi mnashindwa kuelewa kuwa upinzani ni hulka na haki ya kiumbe yeyote yule wa MUNGU...???
Kiumbe aliyekamilika, mwenye utimamu lazima awe na hulka ya upinzani...!!!
 
Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.

Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.

Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?

Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.

Maendeleo hayana vyama!
Askofu Gwajima anajihusisha na nini kwa sasa? 🤣 🤣 🤣
 
Bagonza ni wa kanisa katoliki, na kwenye kila mkutano huwa tunakuwa na viongozi wa imani zote kwa ajili ya maombezi.

Una swali lingine Comrade?
Mbona makamanda hamueleweki wenzio hapo Ufipa wamenijibu yuko KKKT wewe hapo Machame unasema yuko Katoliki.

Toeni jawabu Tafadhali!
 
Back
Top Bottom