Kkt.Mbona makamanda hamueleweki wenzio hapo Ufipa wamenijibu yuko KKKT wewe hapo Machame unasema yuko Katoliki.
Toeni jawabu Tafadhali!
Kkt.Mbona makamanda hamueleweki wenzio hapo Ufipa wamenijibu yuko KKKT wewe hapo Machame unasema yuko Katoliki.
Toeni jawabu Tafadhali!
Hao hawana makanisa bwashee ni sawa tu na mchungaji Msigwa!Baada hapo. Zungumzia pia kuhusu Gwajima, Geo Davie wa Arusha etc ambao wanampigia kampeni Pombe waziwazi
CCM Mpya wao hits huita viongozi wa kidini na kuwahutubia kila mara, lakini hawa viongozi wachache wa kidini wanaoamini katika Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu imekuwa nogwa wakikutana na upande mbadala usio wa CCM Mpya !
.................................................................................
22 September 2020
Karagwe, Tanzania
Askofu Bagonza ...uchaguzi huu wa 2020 ni uchaguzi wa Mitano kwanza v/s Mitano tena hivyo wananchi fanyeni uamuzi wa busara kwa kuchagua kiongozi asiyeona haya kusema na kutenda HAKI
CCM Mpya wao hits huita viongozi wa kidini na kuwahutubia kila mara, lakini hawa viongozi wachache wa kidini wanaoamini katika Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu imekuwa nogwa wakikutana na upande mbadala usio wa CCM Mpya !
.................................................................................
22 September 2020
Karagwe, Tanzania
Askofu Bagonza ...uchaguzi huu wa 2020 ni uchaguzi wa Mitano kwanza v/s Mitano tena hivyo wananchi fanyeni uamuzi wa busara kwa kuchagua kiongozi asiyeona haya kusema na kutenda HAKI
Basi habari ya ajabu ni kuwa hujui nini maana ya Kanisa.Hao hawana makanisa bwashee ni sawa tu na mchungaji Msigwa!
CCM Mpya wao hits huita viongozi wa kidini na kuwahutubia kila mara, lakini hawa viongozi wachache wa kidini wanaoamini katika Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu imekuwa nogwa wakikutana na upande mbadala usio wa CCM Mpya !
.................................................................................
22 September 2020
Karagwe, Tanzania
Askofu Bagonza ...uchaguzi huu wa 2020 ni uchaguzi wa Mitano kwanza v/s Mitano tena hivyo wananchi fanyeni uamuzi wa busara kwa kuchagua kiongozi asiyeona haya (aibu) kusema na kutenda HAKI
HahahaaaNimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Itafute na clip yake uone alivyomchana Babako.Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee kiimani Kanisa ni mwili wa Kristo na kimapokeo Kanisa ni dhehebu.Basi habari ya ajabu ni kuwa hujui nini maana ya Kanisa.
Basi endelea kufanya ulichotumwa na Polepole!
Askofu Gwajima anajihusisha na nini kwa sasa?
Kama ni wa RC basi amejiingiza kwenye matatizo na kanisa lakeNimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Vipi yule shehe ubwabwa wa d'salaam? Nyani haoni kundule.Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Pengo na Malasusa wapo makanisa gani?Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Unataka tukusaidie nini, mbona kilio kimezidi?Hujajibu swali nadhani huna majawabu!
Naona mnaanza dalili za kutengeneza mazingira ya kumbambikia kesiNimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee hapa namzungumzia askofu!Vipi yule shehe ubwabwa wa d'salaam? Nyani haoni kundule.
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Yupo kanisa la chato kwa kiongozi wa malaikaMbona makamanda hamueleweki wenzio hapo Ufipa wamenijibu yuko KKKT wewe hapo Machame unasema yuko Katoliki.
Toeni jawabu Tafadhali!
CCM mnatengeneza mazingira ya kumbambikia kesiHujajibu swali nadhani huna majawabu!
Kwa kosa gani?Naona mnaanza dalili za kutengeneza mazingira ya kumbambikia kesi