Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

I hope ulizingatia wale wanaume 3 niliokutajia. Manake staki kurudi rumande.
Mshaanza vikao vya harusi, usimnyime Kongosho tenda ya kupika ubeche.
 
Last edited by a moderator:
He he he, anaweza kudhani ka-shortlist kumbe yeye ndio ka-shortlist-iwa.

Ila kama kweli, asininyime tenda ya ubeche

I hope ulizingatia wale wanaume 3 niliokutajia. Manake staki kurudi rumande.
Mshaanza vikao vya harusi, usimnyime Kongosho tenda ya kupika ubeche.
 
Ndio ushachelewa hivyo!!!
Hongera da debora na mwenza wako na kila la kheri huko mnakoelekea.

Aisee! Mm ndio nilikua naandaa mistari!
Hope amepata muoaji kweli na sio mdunguaji tu!
Ila jf watu wako faster mno!
 
Last edited by a moderator:
Kweli ngoja ngoja yangu imeniumiza tumbo!
Lkn ngoja nisubiri wangu mambo ya ligi mm siyataki tena!

kweli mdau,bnafs nahangaika kumsaka wangu,nimeamua niende tandale nikanunu t-shirt nyeupe kisha niandike tangazo la kusaka mchumba,halaf nisimame vituo vya daladala vya moroko-airtel,mwenge,posta na kinondon studio,huenda nikamnyakua wangu,nimechoka kulala peke yangu,
 
Ndo nimeisoma link ya da debora leo.aisee vigezo vilikua tyt sana,ila any way umefanikisha hiyo deal safi sana
 
Last edited by a moderator:
kweli mdau,bnafs nahangaika kumsaka wangu,nimeamua niende tandale nikanunu t-shirt nyeupe kisha niandike tangazo la kusaka mchumba,halaf nisimame vituo vya daladala vya moroko-airtel,mwenge,posta na kinondon studio,huenda nikamnyakua wangu,nimechoka kulala peke yangu,
Na mimi nitakuunga mkono!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom