Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

Haa tayari?? Jana tu?? Mm ndio nilikuwa najipanga ati!! Duh, hii kali!
 
Haa tayari?? Jana tu?? Mm ndio nilikuwa najipanga ati!! Duh, hii kali!

Ndio ushachelewa hivyo!!!
Hongera da debora na mwenza wako na kila la kheri huko mnakoelekea.
 
Last edited by a moderator:
Umefanya vema kuleta mrejesho...
Ila SIKU MOJA.. baada ya kutuma maombi? Kweli....?
Kila lenye kheri...
 
Hahaha usisahau kuweka Masters yako kwenye tangazo...inalipa sana ujue

Hilo nitazingatia,inawezekana ilikuwa catalyst hapa ndio maana faster bidada kaleta feedback kuwa kimeeleweka!
Hapana chezea Masters,ina speed up kila kitu.
Si utanisaidia kufunga na kuomba best?
 
Hilo nitazingatia,inawezekana ilikuwa catalyst hapa ndio maana faster bidada kaleta feedback kuwa kimeeleweka!
Hapana chezea Masters,ina speed up kila kitu.
Si utanisaidia kufunga na kuomba best?

Heheh nitakusaidia kukuchagulia lokesheni na kupanga mtoko tu ...hapo kwenye kufunga na kuomba inabidi ukazane mwenyewe uzungumze na Bwana akupe maono.
 
Hongera bwana we umepat mimi ndo bado na mimi natafta lakini mimi sijui pakuandika ujumbe au maombi ya kutafta nisaidieni niende sehemu gani kumbe JF KUNA RAHA.
 
Aisee!! Una bahati ya Mtende

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom