Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
nani ana masters kwani?oooh,,,,
mimi49 sijamwogopa nasali sala za usiku akubali nimnusuru shekh,,,,,ila sina masterz
Waaleykum salaam warahmatulahi wabarakatuhmashallah,afadhal umekuja,
assalam aleykum,
nani ana masters kwani?
ok sawa!moja ya vigezo ambavyo wadau wanavitumia hapa ni hicho,hata mwenye mada,amemwaga na elim yake
Napenda sana kumshukuru Mungu na wanajamii kwa mchango wenu,japo kuna wengine walinikejeli,kunitania na wenye wema na mimi walinitia moyo,na wengi walijitokeza kuni pm na pia email,nawashukuru sana,mtakuwa marafiki zangu wa kawaida maana nimempata mmoja humuhumu,jamani msikate tamaa mnaoomba na kutafuta mume au mke mtapata,nawatakia kila la heri.ASANTENI SANA KWA WALE MLIOSHIRIKIANA NAMI.MUNGU AWABARIKI,AMEN
ujumbe gani huo??nashukuru kama umenielewa,
hope ujumbe wangu via kwa Himidini bado waufanyia kazi ukht
Alitakiwa kushukuru baada ya muda gani..?
Huyu aliandika anahitaji MUME ina maana ndani ya wiki kampata MUME?Huyu atagegedwa tu nahisi maana ana haraka sana bana!
Huyu aliandika anahitaji MUME ina maana ndani ya wiki kampata MUME?Huyu atagegedwa tu nahisi maana ana haraka sana bana!
Na mimi nitakuunga mkono!