Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

Nakumbuka kuna thread hata jana ilichangiwa kwa kibwagizo "vuta kamba".
Debora Debora! Usijewekwa kimada
 
Jamani amesema kapata rafiki tu hivyo nafikiri wataendelea kuchunguzana wenyewe pindi wakikubaliana atakuja kutuambia. Vuteni subira wapendwa.
 
sawa na kuoa home sindio eeeeeh au stayle nyingine....
 
sawa na kuoa home sindio eeeeeh au stayle nyingine....
 
Sijui watakuwa wameenda hanimuni maana bi dada kapotea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom