Asante Sana Roullete

Asante Sana Roullete

erick52 Preta kasema chawote sijui kama ni kweli, basi kwa kukusaidia Blaki Womani kamwambia nitonye kuwa umemsahau au akina Boflo wamekuchanga na like zao!!!!!

Jambo moja la maana uliliofanya ni kumtakia Roulette mfungo mwema ni dalili ya ku book kadi ya Iddy lol.

Kwa ujumla nawatakia wote wana JF Iddy njema ambayo inajongea kwa kasi.

Umeona eeeh? Bahati yake mbaya, Eid hii nimealikwa na Kongosho tunaenda zetu out. Sijui wananipeleka wapi...
 
Last edited by a moderator:
ruttashobolwa kamanda wangu naamini hujambo kabisa....!
Naomba nikupe jukumu moja kubwa Kuwalinda shemeji zako wote humu kwa kuwa najua Asprin na platozoom hawakawii kuwakagua na kuwaharibu mind zao!
Please hakikisha wako salama muda wote

Tehe tehe tehe tehe, kumbe Preta ni wivu tu unamaumbua!!!

Mkuu kumbuka lakini wivu ni suna kwa mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
hahahahah Mr Rocky banaa,
ndo za watu huwa hazivunjwi namna hiyo...
hujui kuwa Asprin ndo mume wangu? na Yummy ni mke mwenzangu?
loh....



Erickb52 asante sana mkuu
Bado anaiba aise
ila sijamkamata nasikia fununu tuu ila namvizia nikimpata talaka yake anayo na za ukoo wake wote
Ila nimemuona mkeo BADILI TABIA akiwa na Asprin leo wanaenda kula kwenye lile genge la mama lishe pale mtaani Preta ukiona hivyo ujue umesghaachwa pamoja na kujitahidi kutoa ofa za nyama choma na bia
 
Last edited by a moderator:
hapa pana harufu ya rushwa....
ninampango wa kwenda takukuru.....mshtakiwa namba moja Roulette na anayefuata Erickb52......

halafu hivi kuna umuhimu gani wa kuwa na vibuzi na vismallhousi mods wakati hamnipi hata like na rep power?
Buchanan hebu come zis way ujieleze, how comes hela ya matumizi hutoi hata like hunigongei na unaninyima rep power?

bila kumsahau Invisible, hivi mbona haunitendei haki? hebu nigongee like na ma-rep nimringishie Erickb52

my hubby wa ukweli Asprin , tafadhali usisome hapa...



Roulette naomba nikupe shukrani zangu nyingi kwa kuiona POST YANGU kuwa ndiyo yenye uzito na kukufurahisha kama ulivyoahidi hadi kutoa Like yako ambayo imenimwagia Rep Power za kutosha.....!
Thanks sana Madame!
Pia naomba kutoa salamu zangu kwa wanachitChat wenzangu wooooote kwa kunikumbuka sana nami pia nawakumbuka na tuko pamoja daima!
Special Greetings kwa Amyner (Love you bby) ummu kulthum Bishanga BADILI TABIA najua ulikuwa umenimiss sana love Remmy Miss you sana
Asprin na Kaizer Judgement Rejao Mtambuzi (Nawamiss kaka zangu) cacico Cantalisia Erotica Zinduna Mwali Catherine YNNAH gfsonwin Madame B The secretary sweetlady beibe nasty King'asti afrodenzi Kongosho Yummy Miss you ladies
Pia Best zangu Mr Rocky Nicas Mtei Smiling Saint (Miss you kijana wangu) Ruhazwe JR Katavi mtu chake PakaJimmy BAGAH TANMO Arushaone Boflo @ hope mambo yenu yako poa...... Preta sijakusahau jamani..Miss you jirani yangu(Tukutane Babylon badae)!
Na wooote ambao sijawataja nawakumbuka sana na tuko pamoja!
Mwisho shukrani tena kwa Roulette ...Big Up sana!
Mfungo mwema!
 
Last edited by a moderator:
hahahahah Mr Rocky banaa,
ndo za watu huwa hazivunjwi namna hiyo...
hujui kuwa Asprin ndo mume wangu? na Yummy ni mke mwenzangu?
loh....

BADILI TABIA huyo mke mwenzako Yummy akija kwangu anajifanya msamaria over nani sijui ila akitoa tuu pua nje ya mlango anageuka mwewe
Na wala hapo hana ndoa anaiba tuu kwa babu Asprin ila nikimkamata atajua ukoo wangu ni upi
 
Last edited by a moderator:
hapa pana harufu ya rushwa....
ninampango wa kwenda takukuru.....mshtakiwa namba moja Roulette na anayefuata Erickb52......

halafu hivi kuna umuhimu gani wa kuwa na vibuzi na vismallhousi mods wakati hamnipi hata like na rep power?
Buchanan hebu come zis way ujieleze, how comes hela ya matumizi hutoi hata like hunigongei na unaninyima rep power?

bila kumsahau Invisible, hivi mbona haunitendei haki? hebu nigongee like na ma-rep nimringishie Erickb52

my hubby wa ukweli Asprin , tafadhali usisome hapa...
Hahahahaaaa BADILI TABIA sema tu hapa ndio nishazisomba na hakuna rushwa wala nini!
Mi ndio mwenye busara zaidi ChitChat lol
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa BADILI TABIA sema tu hapa ndio nishazisomba na hakuna rushwa wala nini!
Mi ndio mwenye busara zaidi ChitChat lol

Busara wapi wewe wakati tunajua kuna rushwa imetembea kati yako na Roulette mnapeana rep kwa kuwa mnakutana sehem sehem mnagongeana like
 
Last edited by a moderator:
sio kuunga urafiki tu, we ongea point bana...
Roulette najitahidi sana aise
Si unajua wengine tulisoma kw ataa za chemli hivyo busara ziliishia huko huko
Hapa najitahidi mpaka nafikia uwezo wa mwisho
Nikizidisha hapo nitakuwa kichaa sasa
 
Last edited by a moderator:
Busara wapi wewe wakati tunajua kuna rushwa imetembea kati yako na Roulette mnapeana rep kwa kuwa mnakutana sehem sehem mnagongeana like
Rushwa ya namna gani?
Ziko rushwa nyingi sana sema ni ipi? Roulette yuko juu kiuchumi anamiliki Bahari Beach Hotel na Meli moja ya mizigo so sina cha kumuhonga!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom