We Erickb52 hiyo post yako uliiweka jukwaa la wakubwa au la dini?
Miss you too my love!
Mie sijambo.
BADILI TABIA Hajaumizwa na nafasi yako iko palepale daima sema tu huyu Remmy anajitahidi kumsaidiasaidia!Amyner keshaumizwa....
hahhaaaaaa napatikana Nicas Mtei au unampiga huduma kwa wateja?