Jamani madame Roulette wakulaumiwa ni mimi niliyesema mimi na Preta tusiwekwe kwenye bango ila namlaumu kwakusema waumezake nimeshindwa kujizuia hapa ninakimbo ya mchozi!!kanikwaza sana!!Nakuomba Madame umwambie abadili tabia!!Ndio ujue kuna kitu kinaendelea. Kwanini awataje akuache? maybe anaenda kuwaunganishia kwa kina @erotika. Stuka, chukua hatua!