Vp nikupitie na boda boda twende lunch kwa mama ntilie tukale kale ka ubwabwa?hehehehe................Maneno yangu ni kama Skintait,.......... ukiona inakubana kavue.CC: tena sweetlady............ Mamndenyi, Paloma....................... Msuto hukuuuuuuuuuuuuuuuuuu...............Wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Heheheheeeeeeeeee, halooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!11Haya haya haya ................Hamshahamshaaaaaaaa!!!!!!!!!!!![]()
![]()
CC yako nimeipata na imetue mezani kwangu.
Msinione kimya jamani...........napanga mipango ya Ndoa yangu.
hiyo yarabi toba na tobo ni yako wewe shoga sikutegemea...........hata wewe shoga yangu hata weweeeee!!!! Eeuphh!!! halafu nasema nna shoga mwenyewe kumbe................... hupendi kuniona nnavyopendwa na mai ozzbend sosoliso!!!! wakati mie nilisherehekea wewe ulivompata shem wangu wa ukwehe Ben sanane na kiplagati26!!!
sasa just FYInfo sosoliso hajui kuacha!!!! na wala sio pendapenda kama wabwanga zako!!!:rockon:
ha ha ha ha ha
sina nyongeza hapa
We nani mkewe, Mr Rocky ni kaka yangu Pure.
beibi Paloma leo ninakuchagulia ule kuku choma na ndizi choma.. pilipili na ndimu kwa mbali..
Samahan mkwewe mkwe
yamekuwa hayo tena,
hauogopi radhi?
watoto wengine banaa wanatafuta laana wenyeweee...............
Nakusaka sana we binti
Pia ni binamu yako. Binamu nyama ya hamu