Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,331
- 4,956
sijarudi
unanidai???
khaa! Ukija niletee mafuta ya masaji ya alizeti!
sijarudi
unanidai???
........... Yaani nataka ajue kabisa kuwa akinioa mimi, basi ameuoa na huo ukoo mzima.
Madame B ntakusutaaa na unafanyaje kimyakimya? Haki ya mama ngoja nkutaftie jisongi la kukusasambulie wewe!
OMG! Afu ni form six!! Utakabemenda aisee lol. Temana nako tu kwa usalama WAKE.
Shemeji hebu fanya ukalale! Ulizokwishabugia huoni zinavyokutesa? Afu bado mwenzio hom anasubiri finyango!........... Yaani nataka ajue kabisa kuwa akinioa mimi, basi ameuoa na huo ukoo mzima.
Kabla sijakupigia debe hebu niondoe kwenye hili kundi la kaka zako. Kwa sasa niweke hapo kwa akina Asprin wakati nikifanya mchakato wa kupanda hapo walipo kina Chimbuvu![]()
Mie ni huyo wa Kati Kati, mwenye nguo Nyeusi nyeusi, Nakufaa?
Naitwa Madame B.
Nina Shemeji zangu watano.......... watu8, Nicas Mtei, Judgement, Mungi na Filipo.
Somo wangu ni gfsonwin, Kungwi wangu ni snowhite na Nyakanga wangu ni Lisa.
Nina Shosti zangu wa Ukwenhe....hatuogopi Mvua wala jua.......Popote tunalianzisha.. Paloma, Raiza, mwaJ, Mamndenyi, Evelyn Salt, dadawhite.
Nina wa Kunyumba wangu......... TA moja hiyo, stendi ya kwanza Korogwe Hoteli... King'asti.
Nina kaka zangu humu........ Mtambuzi, Mjeda, Erickb52, Mwanyasi, MziziMkavu, Mshuza2 na Tuko.
Nina Mjukuu mwenzangu mtukutu kama mimi....... Kongosho, Tuko na Babu yetu Dark City.
Nina wapenzi wangu humu... Chimbuvu, Chilli, tedo, Ben Saanane.......bila kuwasahau waliopita wakiongozwa na wa sasa Arushaone.
Nina wifi zangu humu....... charminglady, marejesho, Lily Flower na measkron.........japo mdogo wangu beibe nasty Judgement amembania.
Nina wanywaji wenzangu humu..... tukiongozwa na Asprin,... Bujibuji,... manoah,... Kipaji Halisi,... KakaKiiza,... cacico,... Paloma,... Mtambuzi, figganigga,..
Nina Kundi langu la MKODOBWE INC.COM....
Na vile vile tuna Pub yetu Maarufu ya kukutana iitwayo LEO TUPO HAPA PUB pale Mny'amala A au BRAJEC pale Survey.
Baada ya kusema yote hayo.............. Je, Utapenda kuwa na Mimi?
Tuma maombi yako hapa.
CC: asakuta same, Shark na bacha, Baba V na Nitonye
Shemeji hebu fanya ukalale! Ulizokwishabugia huoni zinavyokutesa? Afu bado mwenzio hom anasubiri finyango!
Chezeiya leta tutigite weyee!
Najuuuta kuja huku lol!
Ngoja nikachungulie kwenye siasa kuna jipya gani.