Arusha vs dar es salaam

Arusha vs dar es salaam

Madame B hebu mwambie huyo nitonye asifikiri ile perfume unayotumia ni shs mia tano au kile kiatu au mkoba wako ni pesa za madafu mwambie hapo ni mwendo wa dollar na Euro aise kama anajiweza ajitutumue akutumie hata Laki mbili ya kununulia vocha

Yaani kaka-binamu Mr Rocky, nitonye huyo aniache kabisa.
Hela zake za mawazo ataniweza mie
DSCI1931.JPG
 
Last edited by a moderator:
Hujui kama mimi namiliki mgodi au bro hajawahi kukuambia?

Thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.......... Mr Rocky,....... Msikie huyu au anafikiri watu hatuijui kazi yake...
9k=
 
Last edited by a moderator:
Madame B umemuona nitonye hapo juu anasema eti anamiliki mgodi
Huo mgodi mpaka uje utoe faida ni miaka kumi ijayo wewe hapo utakuwa unaishije aise

Anajishaua tu..............
Hana lolote.
Atampata nani na Mjini hapa wote tumeshalijua jiji na mataa yake. Mr Rocky,......... Mwambie KAOGEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.......
 
Last edited by a moderator:
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.......... Mr Rocky,....... Msikie huyu au anafikiri watu hatuijui kazi yake...
9k=
Nitakufanyia kale ka mchezo unakopendaga
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom