Arusha vs dar es salaam

Arusha vs dar es salaam

Umeshaenda uzaramon? Ukrud unambie.

We acha tu
Yule Bwana harusi kumbe alishaoa miaka karibu 7 iliyopita, mke kashtuka kuwa mume anataka kuoa tena,....... asitie timu Chalinze nini,
Watu tushavaa sare zetu,.....jungu la Ubwabwa liko jikoni afu aje atutibulie shughuli.......... thubutuuuuuuuuu.
Alichezea kichapo kutoka kwetu mashoga wa bibi harusi mtarajiwa mpaka alijuta kwa nini alikuja.
Chezea watemi sie.
Ila Kaka ukisikia Binamu yako nipo Oysterbay Police usishangae, maana mke anatusak mji mzima.
 
Kaka Binamu Mr Rocky...................
Mie nawaogopa watoto wa Shule.
Hahahahahaaaaaaaaaaaaa............
Don jdg a bok by its cvr,............opn it (pengine hapo kaandika huku kajibana sehemu)
Madame B ndo hapo sasa utakapojikuta sio mtoto wa shule ila baba mzima alianza shule za Memkwa hizi
 
Last edited by a moderator:
We acha tu
Yule Bwana harusi kumbe alishaoa miaka karibu 7 iliyopita, mke kashtuka kuwa mume anataka kuoa tena,....... asitie timu Chalinze nini,
Watu tushavaa sare zetu,.....jungu la Ubwabwa liko jikoni afu aje atutibulie shughuli.......... thubutuuuuuuuuu.
Alichezea kichapo kutoka kwetu mashoga wa bibi harusi mtarajiwa mpaka alijuta kwa nini alikuja.
Chezea watemi sie.
Ila Kaka ukisikia Binamu yako nipo Oysterbay Police usishangae, maana mke anatusak mji mzima.

Duh! Yamekuwa hayo? Poleni
 
Madame B daaah
mbavu zangu mie
kasutwa kawa mdogo kama priton
na bado amezidi sana kila leo ............penda penda
yanamhuuuuuuuu...........

hehehehe................
Maneno yangu ni kama Skintait,.......... ukiona inakubana kavue.
CC: tena sweetlady.

........... Mamndenyi, Paloma....................... Msuto hukuuuuuuuuuuuuuuuuuu...............
Wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Heheheheeeeeeeeee, halooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!11

images


Haya haya haya ................Hamshahamshaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
images
 
Last edited by a moderator:
Baba V hata ukimweleza unapoteza tu muda
si unaona mtu anakuwa nyuma ya nondo kila siku
wala habadiliki,
eti anipe pesa, Baba V unazo pesa ngapi za kunipa????

Mamndenyi achana na Baba V ana mambo yake ya siri sasa lazima achongee watu ili tuyafiche
Mi niko na wewe hapa yeye anasema toka niondoke ijumaa kuu Mamndenyi hebu mweleze pasaka tulikuwa wapi ndo ajue Madame B mkubalie kijana hapo juu bana japo kamaliza elimu ya Mulugo ila inaonekana anajiweza
 
Last edited by a moderator:
Madame B daaah
mbavu zangu mie
kasutwa kawa mdogo kama priton
na bado amezidi sana kila leo ............penda penda
yanamhuuuuuuuu...........

Hayamhuuuuuuuuuuuuuuu babu weeeeeeeeeeee!!!!!!!!
Hehehe.................
Ila shosti kusutwa, acha kabisa.

Sina hamu mieeeeeeeeeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom