Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Dr Slaa nae nasikia anataka ajipeleke Gerezani kuchuana umaarufu na Lema!

teh teh teh.SIFA ZA KIJINGA ZITAUA WENGI MWAKA HUU.alianza mbowe kwa kusafirishwa na helkopta wakaona amewapiga gap la umaarufu sasa zamu ya Lema,sijui atafuata nani HECHE!!! na je atakuja na kituko gani?,usishangae akafanya kosa la jinai akaitwa kituo cha polisi kuhojiwa akagomea humo humo kutoka akitaka nayeye wamuweke ndan walau wiki 3 avunje umaarufu wa lema.slaha anakuna kichwa sasa aje na style gani maana vijana wamemzidi ubunifu hajadiliwi tena.zitto na lema ndio wanajadiliwa sana sasahivi.je nani atakua m/kiti wa CDM? Zitto na lema wanachuana sasa dk sla.a kuwa mbunifu.
 
teh teh teh.SIFA ZA KIJINGA ZITAUA WENGI MWAKA HUU.alianza mbowe kwa kusafirishwa na helkopta wakaona amewapiga gap la umaarufu sasa zamu ya Lema,sijui atafuata nani HECHE!!! na je atakuja na kituko gani?,usishangae akafanya kosa la jinai akaitwa kituo cha polisi kuhojiwa akagomea humo humo kutoka akitaka nayeye wamuweke ndan walau wiki 3 avunje umaarufu wa lema.slaha anakuna kichwa sasa aje na style gani maana vijana wamemzidi ubunifu hajadiliwi tena.zitto na lema ndio wanajadiliwa sana sasahivi.je nani atakua m/kiti wa CDM? Zitto na lema wanachuana sasa dk sla.a kuwa mbunifu.
Today is your time to speak jokes but i tell you there is one day when you will be screaming.
 
Inawezekana kabisa mtu ukishakuwa Madarakani uwezo wa kufikiri unapungua, just thinking wide, maana dalili zoote zinaonekana lakini wapi!!, macho yao hayaoni, masikio yao hayasikii, something like Gadaffi type.

UWEZO WA KUFIKIRI
UNAHAMIA KWENYE
ufisadi na kusaka magumashi
hawafikirii tena kuwa
wananji ndo waajiri wao
sa.tan
 
ni yule anayekunyima usingizi hadi ukajiunga jana kwa ajili yake.

user-online.png
mr.lukas
join date : 31st october 2011
posts : 1
rep power : 0

tehtehteh
 
Kweli wananchi wa Arusha wamekosa kazi za kufanya. Amejipeleka mwenyewe jela, wanagoma nini?.
 
Kama mtanzania mwenye uchungu ......naomba watu wa usalama wammshauri rais...kuwa Hali ya Arusha ni tete..kwanza watu wa Arusha wana hasira sana na serikali ya KIkwete kuanzia Hao ccm Hadi chadema na wananchi wa kawaida.......kuna husia kuwa Mkoa wa Arusha ..unatengwa sambamba na majimbo ya yaliyochagua wapinzani........wananchi wanaona tofauti kubwa na wakati wa mkapa.....mitaani hakuna munguko pesa...mikutano mikubwa hata lie ya afrika mashariki haiendi ..wafanyabiashara wakubwa nao wanalalamika hawana umeme....madhara yamekua makuba ..
Serikali inakosea kufikiria kuwa wananchi wa mikoa Kama Arusha ...wakiteswa watakuwa wapole ...tatizo sasaa wote wamehshagundua adui Yao ni serikali........
Pia hisia za Huyo lema kutotendewa haki zinaendelea ,Siri zikivujishwa na wana ccm wenyewe....

Sielewi Huyo OCD alikuwa na sababu gani ya kulumbana na wananchi na kukamata mkusanyiko wa wananchi as few as 500 people ...wakati wiki tu haijapita ...wana ccm karibu 1'000 waliandamana tena bila kibali kwenye maandamano ya makundi yanayopingana ndani ya chama......sasa hata Kama wanafikiri wananchi ni vipofu ....si wanaona .....kwanini watu 20 wakamatwe kwa kukusanyika ....wakati maaandamano haramu ya watu 1'000 yaliachwa ....

Polisi mtatusababishia umwagaji damu..maunze kulaumu wananchi.....naomba rais Ashauriewe usiku huu aamrishe kesi ya uonevu dhidi ya Lema ifutwe kesho alfajiri ..na aachiwe Huru...kwa maslahi ya taifa...situation in Arusha is tense....watu wana hasira sana na serikali.....uamuzi ni wa serikali saasa.....!.......Hali ya nchi ni tete..machafuko yakianza sasa na maisha ni magumu yataenea Kama moto wa Kifuu ,serikali wawe wapole tuuu!!!!
Watampata wapi wamshauri wakati mwenzao yupo nje ya nchi anabembea tu saa hizi! Sidhani hata kama anajua kwamba kuna kitu kinachoendelea huku. Jamaa ni kifuu.
 
Mohamed Boaziz alikuwa mtu mdogo sana Tunisia, mmachinga hasiye julikana na wengi zaidi ya familia yake, lakin tendo lake la "kijinga" ni historia, si ya Ben Ali pekee bali ulimwengu mzima.

Unataka kusema nini mkuu, kwamba kuna mpuuzi kafanya upumbaaf ili apate utukufu kutoka kwa wapumbaaf, au!?
 
Chadema plse tukomboe chini ya hawa wakoloni weusi wanaoitwa CCM!
 
Mgomo unaendelea? Crashwise tunasubiri update kutoka kwako
 
Kwa nini mgomo huu usifanyike nchi nzima?
huwa wanaanza harakati mkoa hadi mkoa hadi kuenea nchi nzima mpaka utasikia waliwaita wananchi panya wanakimbilia shimoni na j50 anahamia kwa mawswaiba wake marekani
 
Kama hamkuwa hamuamini sasa imekuwa Kama ilivyotakiwa,polisi wamejaa kila kona lkn magari yameacha pia kubeba abiria mpaka kielewekr
 
Kama mtanzania mwenye uchungu ......naomba watu wa usalama wammshauri rais...kuwa Hali ya Arusha ni tete..kwanza watu wa Arusha wana hasira sana na serikali ya KIkwete kuanzia Hao ccm Hadi chadema na wananchi wa kawaida.......kuna husia kuwa Mkoa wa Arusha ..unatengwa sambamba na majimbo ya yaliyochagua wapinzani........wananchi wanaona tofauti kubwa na wakati wa mkapa.....mitaani hakuna munguko pesa...mikutano mikubwa hata lie ya afrika mashariki haiendi ..wafanyabiashara wakubwa nao wanalalamika hawana umeme....madhara yamekua makuba ..
Serikali inakosea kufikiria kuwa wananchi wa mikoa Kama Arusha ...wakiteswa watakuwa wapole ...tatizo sasaa wote wamehshagundua adui Yao ni serikali........
Pia hisia za Huyo lema kutotendewa haki zinaendelea ,Siri zikivujishwa na wana ccm wenyewe....

Sielewi Huyo OCD alikuwa na sababu gani ya kulumbana na wananchi na kukamata mkusanyiko wa wananchi as few as 500 people ...wakati wiki tu haijapita ...wana ccm karibu 1'000 waliandamana tena bila kibali kwenye maandamano ya makundi yanayopingana ndani ya chama......sasa hata Kama wanafikiri wananchi ni vipofu ....si wanaona .....kwanini watu 20 wakamatwe kwa kukusanyika ....wakati maaandamano haramu ya watu 1'000 yaliachwa ....

Polisi mtatusababishia umwagaji damu..maunze kulaumu wananchi.....naomba rais Ashauriewe usiku huu aamrishe kesi ya uonevu dhidi ya Lema ifutwe kesho alfajiri ..na aachiwe Huru...kwa maslahi ya taifa...situation in Arusha is tense....watu wana hasira sana na serikali.....uamuzi ni wa serikali saasa.....!.......Hali ya nchi ni tete..machafuko yakianza sasa na maisha ni magumu yataenea Kama moto wa Kifuu ,serikali wawe wapole tuuu!!!!
Mkuu unajua mambo kama haya yanayotokea huko Arusha, Waziri Mkuu ana nafasi kubwa ya kuonyesha madaraka yake kwa kweka sawa mambo. Bahati mbaya hatuna Waziri Mkuu kwa sasa mwenye uwezo wa kufanya kazi yake ipasavyo hivyo tusubiri maafa tuu.
Mgogoro wa Arusha kuhusu madiwani wa CDM nakumbuka Pinda aliwashauri waliofukuzwa waende mahakamani hali akijua huo sio ufumbuzi kwa vile wamefukuzwa na chama chao hivyo kama ni kurudi basi wakiangukie chama chao wenyewe.
PM huyu hajui utatuzi wa migogoro zaidi ya kuichochea.
 
Back
Top Bottom