Hebu nijuzeni kinaga ubaga manake wala cjaelewa msingi wa hayo maandamano. ni kumuunga mkono Lema, kupinga OCD kuwaita wananchi panya(ingawaje hili ndo nimekuisikia ucku huu humu jf) au kupinga ukiukwaji wa katiba, haki za binadamu n.k kama alivyoelezea liverpoolfc?! manake naona kuna full mixing na ujuzi!!