Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 142
Kila nikitafakari maneno mazito ya mh. Lema, napata hisia kali ya ukombozi, hata vinyweleo vya ngozi yangu hunisimama, machozi hunilenga, nauona mlango wa ukombozi, naiona nuru ya ukombozi ikiangaza kutoka kaskazini. Viva TZ.