Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Mimi ni mwanachama wa CDM..sipendi kusikia tunavyichukuliwa na other parties. kwanini tuendelee kuitwa watu wa vurugu, mambumbumbu, tulioishiwa sera?
Tubadilike..hata kama tuna machungu sana na nchi yetu, its better tutumie means nzuri na zenye manufaa kuleta ukombozi. Mbona Malawi wameweza, kwanini sisi tushindwe?
wee nawe unaboa!?? Aaagh, kwenda huko
 
yep! Kwa hoja ya ukiukaji wa haki za binadamu na umasiki wa raia naungana nanyi ata km ni msituni 2taenda ila si kwa ajili ya m2 mmoja anayetaka ulaji
 
Aaah waaapiii nani agome goma mwenyewe bana hapa kila mtu ndo anatafuta ugali wa kila siku tugome tukale wapi tukaibe!!!


ndio maana nikasema mambo haya kwa watu wa akili kama yako ni next level.......akili za kupuliziwa zinawasumbua wengi
 
Mapambano ni safari ya kila siku isiyokuwa na mapumziko. Uhusu hauji kwa jamii wanayodai uhuru kugawanyika na kuwa na nidhamu ya woga au kuwa na vipaumbele vya maslahi yao binafsi. Ni vuzuri kuungana wote kwa pamoja for the just cause ya nchi yetu na kuwasindikiza ndugu zetu madereva. Haya ni mapambano yetu sote. Uvunjifu wa haki za binadamu haufanywi kwa madereva peke yao so tujiunge sote kupambana
 
wee nawe unaboa!?? Aaagh, kwenda huko
tukubaliane na hali halisi.
kwanza kwa kipindi hiki ingebidi wanachadema tuungane kumuombea mwenzetu Zitto Kabwe.. kwa sababu ya ubinafsi wetu, tunakimbilia kumtetea Lema anayejitafutia sifa za kijinga wa kufanya kitendo ambacho hata kichaa hawezi fanya
 
kidonda kisipotibiwa haraka hugeuka donda ndugu(kansa)kidogo kidogo naiyona amani inatoweka.mzaha mzaha hutumbua husaa.jana waliandamana kesho watagoma kesho kutwa silaha begani.
 
Mimi ni mwanachama wa CDM..sipendi kusikia tunavyichukuliwa na other parties. kwanini tuendelee kuitwa watu wa vurugu, mambumbumbu, tulioishiwa sera?
Tubadilike..hata kama tuna machungu sana na nchi yetu, its better tutumie means nzuri na zenye manufaa kuleta ukombozi. Mbona Malawi wameweza, kwanini sisi tushindwe?


ukizaliwa na ukakuta wazazi wako wnaafanya kazi ya utumwa hakika hutajua kama wewe nza wazaz wako mko utumwani....mpaka aje mtu mwingine to sehemu nyingine akufafanulina na kukuonyesha namna gani mko utumwani....na ndio maana nasema mambo mengine ni next level kwa watu kama wewe...
 
tukubaliane na hali halisi.
kwanza kwa kipindi hiki ingebidi wanachadema tuungane kumuombea mwenzetu Zitto Kabwe.. kwa sababu ya ubinafsi wetu, tunakimbilia kumtetea Lema anayejitafutia sifa za kijinga wa kufanya kitendo ambacho hata kichaa hawezi fanya

mwezi bado mchanga na huu ndio mda wa watu wainana yako kuanguka kifafa......
 
quote_icon.png
By facebook
Haya ni maneno tu. Lema anajitafutie cheap popularity kwa hili. Tayari tumeshaona uwezo wake wa kufanya kazi. Chadema bado ni changa, tuache ushabiki.. kwa sasa watu tunashabikia anachokifanya Lema, but kina bad impact kwa chama.
Huu ni upuuzi perse.
 
tukubaliane na hali halisi.
kwanza kwa kipindi hiki ingebidi wanachadema tuungane kumuombea mwenzetu Zitto Kabwe.. kwa sababu ya ubinafsi wetu, tunakimbilia kumtetea Lema anayejitafutia sifa za kijinga wa kufanya kitendo ambacho hata kichaa hawezi fanya
Naanza kuamini sasa mmeshikwa pabaya.Dalili za kutapa tapa ninyingi sana!

Inakumbushia enzi za utoto ulikuwa ukiofanya kosa basi unaweka kajani ama kijiti/chelewa kwenye nywele ili mwalimu ama mzazi asahau.

Yani hadi unaombea ingekuwa mwisho wa dunia kabla hujaulizwa makosa yako.

Thats how i can explain this pale unapoombea watu waendelee kusikitika kwa sababu tu mbunge mmoja ni mgonjwa na anapata matibabu anayostahili.

Yani chama kisifanye kazi kwasababu mbunge mmoja ni mgonjwa?

Akili ya wapi?Mbona nchi inaendelea na shughuli hata kama mkuu ni mgonjwa?Ama hata akiombewa ndo shughuli za ukombozi zisimame?
Wa wapi wewe?

Unatapa tapa!Ha ha ha!
 
Mimi ni mwanachama wa CDM..sipendi kusikia tunavyichukuliwa na other parties. kwanini tuendelee kuitwa watu wa vurugu, mambumbumbu, tulioishiwa sera?
Tubadilike..hata kama tuna machungu sana na nchi yetu, its better tutumie means nzuri na zenye manufaa kuleta ukombozi. Mbona Malawi wameweza, kwanini sisi tushindwe?

Peleka masaburi yako kwa mabasha wa CCM sio kwetu. Weka kadi yako ya Uanachama hapa usilete us%^nge
 
tukubaliane na hali halisi.
kwanza kwa kipindi hiki ingebidi wanachadema tuungane kumuombea mwenzetu Zitto Kabwe.. kwa sababu ya ubinafsi wetu, tunakimbilia kumtetea Lema anayejitafutia sifa za kijinga wa kufanya kitendo ambacho hata kichaa hawezi fanya

Okay, Umeeleweka sasa!
Akishapona je?
 
tukubaliane na hali halisi.
kwanza kwa kipindi hiki ingebidi wanachadema tuungane kumuombea mwenzetu Zitto Kabwe.. kwa sababu ya ubinafsi wetu, tunakimbilia kumtetea Lema anayejitafutia sifa za kijinga wa kufanya kitendo ambacho hata kichaa hawezi fanya
Yaani wewe sijui una nini kwenye ubongo wako kuna watu wengine wakifa bongo zao tutatengenezea kiwi,ili tujaribu kama viatu vyetu vitapata mng'ao baada ya ukombozi,Zito huko anaendelea kupata huduma na sisi huku tunaendelea na mapambano akirudi tunaendeleza mapambano wewe ng'aka tu kama nyati aliyeangukiwa na mbuyu
 
Sheria zipo. CDM ni chama chenye wanasheria wazuri. Chadema ni chama chenye wasomi wengi.
Sidhani kama hata robo ya wanachama wasomi wa chadema wanasapoti huu upupu anaoufanya Lema

upupu sio wa lema wewe punga ni wa Ocd mjinga aliyesababisha yote hayo.
 
Nafarijika kusikia redio zinausoma maana kuna mtu jana alisema ni watanzania wachache sana walio na habari ya waraka wa Lema eti hawafiki hata 1/40 nikamuuliza anajua 1/40 ya watanzania ni ngapi hajanijibu hadi sasa.

Nimsaidie jibu............. its a MILLION TANZANIANS in Arusha..... plus others in other regions............. kweli sikio la kufa halisikii dawa.... !!!
 
Mimi ni mwanachama wa CDM..sipendi kusikia tunavyichukuliwa na other parties. kwanini tuendelee kuitwa watu wa vurugu, mambumbumbu, tulioishiwa sera?
Tubadilike..hata kama tuna machungu sana na nchi yetu, its better tutumie means nzuri na zenye manufaa kuleta ukombozi. Mbona Malawi wameweza, kwanini sisi tushindwe?
Usijisalimishe Chadema hatutaki mwanachama mbumbumbu na mwoga kama wewe kifupi hatukuhitaji utatuambukiza woga.
 
wakuu nimepita mitaa ya sanawari nikakutana na kipeperushi cha kuhamasisha mgomo na maandamano.kiukweli hali inazidi kuwa tete!halafu nasikia kuna wajeda wa kule monduli wanataka lema aachiwe,sisemi sana nasubiri hiyo inayoitwa kesho.
 
Arusha wsill always be a nuclei of revolution - I hope. That region is where Sokoine came from, look at other revolutioneries like Ole Sendeka, Dr. W. Slaa, Hon. Godbless Lema bila kuwataja wale jamaa mashujaa wasioogopa kufa.

Hata Azimio la walalahoi, I mean, Azimio la Arusha lilianzia hapa. Soma kauli ya Azimio chini ya Tunapigana vita:

"Tumeonewa kiasi cha kutosha, tumenyonywa kiasi cha kutosha, na tumepuuzwa kiasi cha kutosha. Unyonge wetu ndio uliotufanya tuonewe, tunyonywe, na kupuuzwa. Sasa tunataka mapinduzi; mapinduzi ya kuondoa unyonge ili tusionewe tena, tusinyonywe tena."

Wana Arusha pamoja na Mbunge wao wanasema tena: Tumechoka kunyanyaswa, unyonge sasa basi.

Kama mwanamageuzi, nawapongeza sana!

 
Back
Top Bottom