Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Wafungiwe leseni wote wale waloogoma. Lema mwenyewe kapenda kwenda gerezani. Sasa hao wa viford wanagoma ili nini?

Uamuzi wa kutoa au kutotoa huduma ni haki halali ya kibinadamu na kikatiba ya hawa waheshimiwa. Ukitafakari vizuri madereva hawa hawagomi kwa sababu Lema ameenda rumande BALI wanagoma kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na vyombo vya dola dhidi yao. Madereva wa daladala Morogoro pia waligoma kutoa huduma kwa sababu kama hizi mapema mwaka huu.

Vitendo vya daladala kunyanyaswa na askari polisi vimeshamiri sana Tanzania ambapo polisi hufanya daladala kama mashamba yao ya kujivutia fedha za mboga kila siku.

Mgomo kama huu waweza pia kutokea Dar. Ni vyema tukaliangalia tatizo hili kwa upana zaidi badala ya utashi wa kisiasa
 
Kweli daladala Arusha zimegoma watu wanatembea kwa miguu ni balaa.
 
Naunga mkono yote yatakayofanywa na wanachedema arusha......

Hakuna kinachoweza kushinda haki ya ummaa........

Chadema mwendo mdundo........ Freedom is coming tomorrow..
 
Uamuzi wa kutoa au kutotoa huduma ni haki halali ya kibinadamu na kikatiba ya hawa waheshimiwa. Ukitafakari vizuri madereva hawa hawagomi kwa sababu Lema ameenda rumande BALI wanagoma kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na vyombo vya dola dhidi yao.

Madereva wa daladala Morogoro pia waligoma kutoa huduma kwa sababu kama hizi mapema mwaka huu. Vitendo vya daladala kunyanyaswa na askari polisi vimeshamiri sana Tanzania ambapo polisi hufanya daladala kama mashamba yao ya kujivutia fedha za mboga kila siku.

Mgomo kama huu waweza pia kutokea Dar. Ni vyema tukaliangalia tatizo hili kwa upana zaidi badala ya utashi wa kisiasa

Usibadili mada mkuu, la kufutiwa leseni limekushtua, eeh!
 
Usibadili mada mkuu, la kufutiwa leseni limekushtua, eeh!

Hapana sijaribu kubadili mada bali najaribu kutanabaisha sababu haswa ya mgomo huu. Inawezekana ya kwamba ushawishi umefanywa na chama cha siasa ila katika kushawishi mtu ni lazima kuwe na sababu ya kuunganisha watu wenye itikadi tofauti na pengine wengine wao sio hata wapiga kura wa Godbless Lema.

Lema hajafikia hatua ya kuwa na ushawishi kutokana na utashi wake mwenyewe, he simply isn't a strong enough personality.

Nimetoa mfano wa yale yaliyojiri Morogoro ambapo sababu zilikuwa zinafanana na hizi za Arusha. Ni vyema tunapojadili matatizo tukajadili vyanzo badala ya dalili. Hii ya Lema kwenda rumande ni dalili tu na sio chanzo cha mvutano uliopo.
 
Mgomo upo ingawa daladala za wanaccm na za mapolisi zinafanya kazi baadhi ya barabara
 
Uamuzi wa kutoa au kutotoa huduma ni haki halali ya kibinadamu na kikatiba ya hawa waheshimiwa. Ukitafakari vizuri madereva hawa hawagomi kwa sababu Lema ameenda rumande BALI wanagoma kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na vyombo vya dola dhidi yao. Madereva wa daladala Morogoro pia waligoma kutoa huduma kwa sababu kama hizi mapema mwaka huu.

Vitendo vya daladala kunyanyaswa na askari polisi vimeshamiri sana Tanzania ambapo polisi hufanya daladala kama mashamba yao ya kujivutia fedha za mboga kila siku.

Mgomo kama huu waweza pia kutokea Dar. Ni vyema tukaliangalia tatizo hili kwa upana zaidi badala ya utashi wa kisiasa

wacha porojo wewe.Mbona wasigome siku za nyuma? Mbona vipeperushi vyao vinasema moja ya sababu ni kuwaita wananchi Panya?
 
hali imekuwa tete jiji ARUSHA, daladala za goma mikusanyiko mikubwa yaanza , sasa sijui police watapiga watu kwasababu wamekusanyika sehemu moja au la! Arusha raha kweli kweli kama unaleta longo longo unapewa za uso watu wanasepa, Arusha tumeamua kukomaa kwa kupinga kudhalilishwa mara kwa mara na jeshi la police.
 
Huyo nahsi hajajua adhali za kuwaita wazalendo Panya, itabidi akaulize vizr gadafi yuko wapi sasa hv baada ya kuwaita wenzie panya! Tuelezane vzr, mgomo unaanza sa ngapi, na tuanzie wapi?
 
Polisi wameamua kulazimisha watu kupanda Dala dala na kuwa lazimisha madereva wa dala dala kuendesha dala dala, ila madereva wengi wamekataa na kukimbia kuacha dala dala standa,kuna deffender kama 60 za polisi kwa sasa mjini.vijana zaidi ya 30 wamekamatwa wapo ndani.
 
Hii move ilitakiwa kuanza asubuhi wameacha wapiga debe wafanye watakavyo.

Polisi wameamua kulazimisha watu kupanda Dala dala na kuwa lazimisha madereva wa dala dala kuendesha dala dala, ila madereva wengi wamekataa na kukimbia kuacha dala dala standa,kuna deffender kama 60 za polisi kwa sasa mjini.vijana zaidi ya 30 wamekamatwa wapo ndani.
 
kitaeleweka tu. hata waje na mizinga. Ninavyowajua watu wa Arusha wengi wanajua haki zao hawatishiwi polisi. we shall overcame
 
Back
Top Bottom