Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Polisi wameamua kulazimisha watu kupanda Dala dala na kuwa lazimisha madereva wa dala dala kuendesha dala dala, ila madereva wengi wamekataa na kukimbia kuacha dala dala standa,kuna deffender kama 60 za polisi kwa sasa mjini.vijana zaidi ya 30 wamekamatwa wapo ndani.
Wanalazimisha wapande waende wapi.... unajua polisi ndio huwa wanaanzisha fujo.
 
Hii move ilitakiwa kuanza asubuhi wameacha wapiga debe wafanye watakavyo.
Hakuna wa kumlazimisha dereva kubeba abiria Arusha, njia ya sakina to ngaramtoni wapita njia wanavuja jasho kwa kutembea kwa miguu, kiukweli mgomo unajidhihirisha kufanikiwa.
 
Hata kama unakaa njiro unalazimishwa kupanda gari ya kwenda mbauda eti hawataki kuona mtu mjini, Arusha kwasasa ni vurugu tupu. Watajuta kupindisha ukweli na hili ni onyo kwa watawala
 
Heshima kwenu wanabodi.

Jeshi la polisi mkoani Arusha limerejesha usafiri wa daladala katika hali ya kawaida baada ya wamiliki na madereva wa daladala kuhakikishiwa usalama wa magari yao na abiria.Daladala nyingi ziliingia kwenye mgomo kwa kuogopa kuharibiwa na wapiga debe na bodaboda.

Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ila nawapa lawama kidogo kwa kuchelewa kuchukua hatua hizo mapema.
 
Napita maeneo ya stand ndogo daldala zinapiga mzigo kama kawaida naona Defender la polisi limekaa mkao wa kudhibiti uhuni wowote.Stand ya daladala ziendazo sanawari ya juu abiria wapo ndani ya gari tayari kwa safari,nimepita Mianzini daladala za Sakina na Ngaramtoni zinachapa kazi kama kawaida.Vibaka wanakamatwa sana hakuna wapiga debe kabisa.
 
Heshima kwenu wanabodi.

Jeshi la polisi mkoani Arusha limerejesha usafiri wa daladala katika hali ya kawaida baada ya wamiliki na madereva wa daladala kuhakikishiwa usalama wa magari yao na abiria.Daladala nyingi ziliingia kwenye mgomo kwa kuogopa kuharibiwa na wapiga debe na bodaboda.

Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ila nawapa lawama kidogo kwa kuchelewa kuchukua hatua hizo mapema.

Hapa stendi ya daladala madereva wamekimbia magari yao na wao ndo wanahamasisha mgomo huu, hakuna hata daladala hata moja imethubutu kumove hapa stendi, Arusha unayoizungumzia wewe ni utopian thinker.
 
Heshima kwenu wanabodi.

Jeshi la polisi mkoani Arusha limerejesha usafiri wa daladala katika hali ya kawaida baada ya wamiliki na madereva wa daladala kuhakikishiwa usalama wa magari yao na abiria.Daladala nyingi ziliingia kwenye mgomo kwa kuogopa kuharibiwa na wapiga debe na bodaboda.

Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ila nawapa lawama kidogo kwa kuchelewa kuchukua hatua hizo mapema.

Sasa mkuu hawa polisi itabidi wakae hapo kwa siku zote mpaka Lema atoke jera maana huo mgomo ni mpaka Lema atoke. Mimi naona ni ujinga mtupu, badala ya kushughulikia tatizo bado wanataka kupimana nguvu. Ngoja tuone nani atashindwa basi.
 
Heshima kwenu wanabodi.

Jeshi la polisi mkoani Arusha limerejesha usafiri wa daladala katika hali ya kawaida baada ya wamiliki na madereva wa daladala kuhakikishiwa usalama wa magari yao na abiria.Daladala nyingi ziliingia kwenye mgomo kwa kuogopa kuharibiwa na wapiga debe na bodaboda.

Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ila nawapa lawama kidogo kwa kuchelewa kuchukua hatua hizo mapema.

kibaraka wa nape kazini!
 
Heshima kwenu wanabodi.

Jeshi la polisi mkoani Arusha limerejesha usafiri wa daladala katika hali ya kawaida baada ya wamiliki na madereva wa daladala kuhakikishiwa usalama wa magari yao na abiria.Daladala nyingi ziliingia kwenye mgomo kwa kuogopa kuharibiwa na wapiga debe na bodaboda.

Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ila nawapa lawama kidogo kwa kuchelewa kuchukua hatua hizo mapema.
Hili jamaa linatumiwa Masaburi mpaka na akili pia. David Cameroon ameamua kuwatambua uwepo wenu. Hongereni!
 

Hapa stendi ya daladala madereva wamekimbia magari yao na wao ndo wanahamasisha mgomo huu, hakuna hata daladala hata moja imethubutu kumove hapa stendi, Arusha unayoizungumzia wewe ni utopian thinker.
Achana naye huyo anajulikana humu JF kwa uongo.
 
Daud mchambuzi mimi mwenyewe nipo hapa Stand karibu na Miami hotel daladala zinapiga mzigo muzee acha kudanganya watu hakuna dereva anayelazimishwa wote wanahitaji fedha kama wewe.



Hapa stendi ya daladala madereva wamekimbia magari yao na wao ndo wanahamasisha mgomo huu, hakuna hata daladala hata moja imethubutu kumove hapa stendi, Arusha unayoizungumzia wewe ni utopian thinker.
 
Napita maeneo ya stand ndogo daldala zinapiga mzigo kama kawaida naona Defender la polisi limekaa mkao wa kudhibiti uhuni wowote.Stand ya daladala ziendazo sanawari ya juu abiria wapo ndani ya gari tayari kwa safari,nimepita Mianzini daladala za Sakina na Ngaramtoni zinachapa kazi kama kawaida.Vibaka wanakamatwa sana hakuna wapiga debe kabisa.

Umejitwisha desktop yako unapopita stand ndogo ya daldala?
 
Napita maeneo ya stand ndogo daldala zinapiga mzigo kama kawaida naona Defender la polisi limekaa mkao wa kudhibiti uhuni wowote.Stand ya daladala ziendazo sanawari ya juu abiria wapo ndani ya gari tayari kwa safari,nimepita Mianzini daladala za Sakina na Ngaramtoni zinachapa kazi kama kawaida.Vibaka wanakamatwa sana hakuna wapiga debe kabisa.
Huna kazi za kufanya zaidi ya kuzunguka kwenye stand za mabasi na vifodi hauna tofauti na hao vibaka unaowasema.
 
hata hamueleweki na hizi thread zenu za migomo, mara hiki mara kile....
 
Daud mchambuzi mimi mwenyewe nipo hapa Stand karibu na Miami hotel daladala zinapiga mzigo muzee acha kudanganya watu hakuna dereva anayelazimishwa wote wanahitaji fedha kama wewe.
daladala zipo mbili tatu tangu awali ila zinakatisha safari na hazifiki stand kabisa, wewe unasema hali imerejea kama kawaida, ni kawaida haice ya ngaramtoni kuanzia safari mianzini??????? nipo car wash pembeni ya tripple A kwa sasa watu wanatembea kwa mguu daladala ni moja moja sana tena zinaanzia kati kabisa.
 
Huna kazi za kufanya zaidi ya kuzunguka kwenye stand za mabasi na vifodi hauna tofauti na hao vibaka unaowasema.
Mh ngongo hongera,kote uko unatembea na computer yako? Umeamua kuwa journalist maana thread yako imetumwa kupitia computer nasiyo mobile,hongera sana.
 
Back
Top Bottom