Arusha; ataka kujiua kisa mke wake ametoroka.

Arusha; ataka kujiua kisa mke wake ametoroka.

Ndoa ni kwa watu wenye roho ngumu nyie wenye roho za biskuti mtakuwa mnatuona sisi tunapeta tu.
Una roho ngumu wapi wakati tunajua umekaliwa chapati???

Si unalalamika kila siku mkeo hataki hata kukupelekea maji bafuni???

Sasa hapo umeoa au umeolewa?

Kataa ndoa mzee!!!
 
Mitishamba! Mitishamba! Mitishamba!
Vijana tuwekeze sana kwenye mambo ya kimila na utamaduni kama dada zetu wanavyofanya. Bila hivyo tutateswa sana. Hawa viumbe hawana masikhara kwenye mambo ya kimila. Kabla ya kuoa inabidi kijana ukajitengeneze kwenye kisiwa fulani kipo Ziwa Tanganyika..
aise
 
Una roho ngumu wapi wakati tunajua umekaliwa chapati???

Si unalalamika kila siku mkeo hataki hata kukupelekea maji bafuni???

Sasa hapo umeoa au umeolewa?
😂😂
 
Kuishi na mtu chumba kimoja sio kazi nyepesi lakini unajua inabidi ujivue akili kabisa kabisa iwe nusu chizi nusu kichaa, mwanaume mwenye akili hua haoi au hua anachelewa sana kuoa
Mazoea ni sababu ila isitufanye tuone kama maisha hayawezi kuendelea bila mtu fulani uliyekua unampenda, tujue tu lolote linapita, na tumove on.

Wanaume oeni tu wanawake wastaarabu wapo kibao, usichelewe sababu unaogopa fulani alipata changamoto, kila mtu na story yake, zingine ni nzuri sana
 
Mazoea ni sababu ila isitufanye tuone kama maisha hayawezi kuendelea bila mtu fulani uliyekua unampenda, tujue tu lolote linapita, na tumove on.

Wanaume oeni tu wanawake wastaarabu wapo kibao, usichelewe sababu unaogopa fulani alipata changamoto, kila mtu na story yake, zingine ni nzuri sana
Shida hujui unashikilia kwenye nguzo yenye uimara kiasi gani ila km umewahi kung'atwa na nyoka au umewahi kujikwaa kwenye kisiki kikakukwangua ukucha wa dole gumba au kidole cha mwisho cha mguu na ukaishi na kidonda unakiuguza kwa muda lazima utaongeza umakini next time unapopita njia ile ile, na huo sio uoga ila ni umakini ili usije ukafanya yale yale
 
Back
Top Bottom