Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Spmetimes sio wachezaji hawataki kushinda.... AW should get rid of ARSHAVIN...... The guy is more than USELESS.......
 
Arshavin, Rosicky, and Djorou ....... wanafuatiwa na ramsey + walcot ... hawa jamaa sijui vipi
 
nimekuta comment kule SUN jamaa anasema Wenger played russian roullete and he lost ,
 
Wenger "We loose together and win together. I will not blame one player. If I make a Mistake I am sorry"
source. Twitter.
 
Arshavin, Rosicky, and Djorou ....... wanafuatiwa na ramsey + walcot ... hawa jamaa sijui vipi

Hapana...hawa jamaa ni wazuri.....sema pale kati pamezidiwa sana kiasi kwamba mipira haiendi mbele....hivyo kuwachosha akina VP et al na kwa sababu hiyo hiyo mipira mingi inaenda kwenye defense ya Arsenal na hivyo kuwachosha hawa vijana wadogo..........Alex Song inabidi apate msaidizi wa NGUVU pale kati kati.......dizaini ya Fabregas....mambo yatarudi kuwa Gunners wa kweli kweli......

Wee angalia timu kama Barcelona.....defense yao si nzuri sana...isipokuwa.........washambuliaji wake wote wana asili na uwezo wa kuwa viungo wazuri sana.....na kwa sababu hiyo Viungo wao maridadi Iniesta, Xavi na Mescherano (ni wamiliki wazuri wa mpira....i.e they can hold the ball) na hivyo wanakuwa na muda mzuri wa kuisaidia defence......na hata defence yao kuonekana ni nzuri..........

Tofauti kubwa ya Arsenal na Barca ni VIUNGO...........otherwise wachezaji wote ni wazuri sana..........

Hivi nyie mmesahau Asharvin alivyoitungua ManU kipindi fulani........na uchezaji wake haujabadilika sana.......kila mchezaji hufanya makosa uwanjani...msimhukumu kihivyo Asharvin et al.......
 
Wenger "We loose together and win together. I will not blame one player. If I make a Mistake I am sorry"
source. Twitter.

kila cku unaomba msamaha kwa kosa hilo hilo 2,halafu ujirekebishi,inaboa sana.mi nadhani masabiki wa Uingereza wampigie kelele ili ajiuzulu 2 manake mi naona kama mbinu zake zimeshakwisha.
 
wenger hana wa kumlaumu zaidi ya yeye na arshvin


....Yule Chamberlain alikuwa anaongeza nguvu sana katika mashambulizi na hata kusababisha goli la kusawazisha, halafu AW akaamua kumtoa na kumuingiza huyo nanihii ambaye alikuwa chanzo cha goli la ushindi la MANU. AW kwa kweli anashangaza sana. Yaani alipoamua kumtoa nilipigwa na bumbuwazi la hali ya juu na wapenzi wa GUNNERS waliokuwa uwanjani walionyesha wazi kutoridhishwa na maamuzi ya AW. Hata draw ingekuwa bora sana kuliko kupoteza mchezo.

 
Maneno ya Wenger kutoka skysports haya.

"When it was 1-1 it looked like we would win but in the end one tactical mistake lost us the game," he told Sky Sports.
"I do not want to dwell too much on that now but one second of inattention can cost you."
Despite his admission, Wenger went on to defend his decision to bring off Oxlade-Chamberlain in a frosty post-match press conference.
"I can understand that the fans are upset about the substitution, especially when it doesn't work, but he (Oxlade-Chamberlain) had started to fatigue," he said.
"He was sick in the week. Arshavin is captain of the Russia national team.
"You have an 18-year-old kid making his first Premier League start and a player who's captain of his country and they are querying the substitution? Let's be serious.
"I've been a manager for 30 years and have made 50,000 substitutions. I do not have to justify every decision I make to you (the Press). I stand up for it."
The Frenchman concedes the result leaves his team in real danger of not making the top four this season, adding: "It leaves us in a very difficult position. It's a game we couldn't afford to lose."
Wenger thought his players took too long to hit their stride but was pleased with their display in the second half, despite the result.
[h=5]Nervous[/h]"Overall I would say we had a great second half," he added. "We had a difficult first half where we were a bit nervous.
"In the second half I thought we had chances to win the game. We made a defensive mistake on the second goal but overall we had a great second half. We created chances, we were a bit unlucky.
"You could see we played under pressure today and it took us 45 minutes to get into the game. In the second half when we played with more freedom we were very dangerous."
 
kila cku unaomba msamaha kwa kosa hilo hilo 2,halafu ujirekebishi,inaboa sana.mi nadhani masabiki wa Uingereza wampigie kelele ili ajiuzulu 2 manake mi naona kama mbinu zake zimeshakwisha.

Mbinu zake wala hazijaisha Prof. Wenger, ila kuna kitu anakificha nyuma ya pazia.

Prof. huyu anastaihili kuchunguzwa nyendo zake. Ninashawishika kuamini kuwa Prof. anajihusisha na biashara ya KAMALI(betting business). Kwa maamuzi ya aliyoyafanya leo inaonekan kuwa pesa yake aliiweka kwenye kichwa cha Man. Utd, ndio maana alipoona Arsenal wanataka kuaribu biashara yake akaamua kumtoa DOGO C'Lain kupunguza makali.

Uchunguzi juu ya Nyendo za Prof. ni muhimu.

I like Gunners.
 
Poleni sana!
Ndo ukubwa huo.
Kweli ubuyu hauli ukalala, dah ni ladha tu.
 
Mimi naona wakuu mngeamua kwa ujasiri mkubwa kushabikia mtibwa sugar manake marazi ya sukari huanza kwa mishtuko ya hafla hafla kama mnayoipata washabiki wa gunnerz
 
Back
Top Bottom