Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kichapo cha leo ni cha kujitakia jirani....Wenger kamtoa Chamberlain ambaye ndiye alikuwa anawechezesha mbele anamuingiza galasa ASHA BOKO na Mungu asivyomficha mnafiki Arshavin katufungisha kwa kumpasia Welbeck.....

Huyo dogo si alikuwa toka mwanzoni ilikuwaje mbona hakufanya kitu,Wenger kafanya changes baada ya kuona uwanjani kuna nini na watacheza vipi,Hata angekuwepo still mlikuwa hampo vizuri mkuu inabidi tukubali tu
 
RVP alistuka alisikitika kweli pale chemberlin alivyotolewa na kuingia ASHA ..... alijua basi tena game kwish nehi
 
Mimi naamini bila Wenger Arsenal itafanya vizur. Tunahitaji kocha aliye strict! Hii game ilikuwa ya kushinda kabisa.

Mkishinda mbona huwa hamsemi lakini??jamani mwacheni mzee afanye kazi yake....
 
Mimi naamini bila Wenger Arsenal itafanya vizur. Tunahitaji kocha aliye strict! Hii game ilikuwa ya kushinda kabisa.

bora umeliona hilo na chengine dive za romney ndio zimewakost...

BTW poleni sana wakuu...
 
Huyo dogo si alikuwa toka mwanzoni ilikuwaje mbona hakufanya kitu,Wenger kafanya changes baada ya kuona uwanjani kuna nini na watacheza vipi,Hata angekuwepo still mlikuwa hampo vizuri mkuu inabidi tukubali tu

mkuu bao la pili kawapa nani kama sio arshavin ....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Huyo dogo si alikuwa toka mwanzoni ilikuwaje mbona hakufanya kitu,Wenger kafanya changes baada ya kuona uwanjani kuna nini na watacheza vipi,Hata angekuwepo still mlikuwa hampo vizuri mkuu inabidi tukubali tu

Alipomtoa dogo ndo alipolikosea game la leo manake kuanzia kipindi cha pili kimeanza,dogo alikuwa anafikisha mipira mbele na mingine anajaribu
 
Huyo dogo si alikuwa toka mwanzoni ilikuwaje mbona hakufanya kitu,Wenger kafanya changes baada ya kuona uwanjani kuna nini na watacheza vipi,Hata angekuwepo still mlikuwa hampo vizuri mkuu inabidi tukubali tu

Mkuu napingana nawe. Ingawa mimi ni mnazi wa Man U,lakini ni ukweli kwamba the Ox Chamberlain alikua anaibeba timu. Yule dogo ni mzuri,sielewi kwanini AW hamwamini!

Nway poleni the Gooners,timu yenu mbovu kabisa. Yaani licha ya ubovu wa Man U mnapigwa?!

BTW leo the King aliogopa mechi?
 
Huyo dogo si alikuwa toka mwanzoni ilikuwaje mbona hakufanya kitu,Wenger kafanya changes baada ya kuona uwanjani kuna nini na watacheza vipi,Hata angekuwepo still mlikuwa hampo vizuri mkuu inabidi tukubali tu
Kama umeangalia mpira vizuri AOC ndiye alikuwa anachezesha timu 1st Halfu na hata kabla ya kutoka,na ndiye aliyetoa pasi kwa RVP akafunga goli la kusawazisha.....Baada ya yeye kutoka mbele kulipooza,krosi kutoka upande wa kushoto hazikuwepo tena....Mbadala wake ambaye ni Arshavin akawa anakimbiakimbia tu hovyo uwanjani na kuona haitoshi akatoa pasi kwa Welbeck ambaye bila ajizi alitufunga goli la pili.....

Kama umeangalia vizuri wakati dogo AOC natoka mashabiki walikuwa wakizomea na kumtukana AW,RVP alionekana kuhamaki......Ni bora angemtoa Walcott na si Alex Oxlade-Chamberlain.....

Kila mtu ameshangazwa na sub hii ya Wenger
 
Kama umeangalia mpira vizuri AOC ndiye alikuwa anachezesha timu 1st Halfu na hata kabla ya kutoka,na ndiye aliyetoa pasi kwa RVP akafunga goli la kusawazisha.....Baada ya yeye kutoka mbele kulipooza,krosi kutoka upande wa kushoto hazikuwepo tena....Mbadala wake ambaye ni Arshavin akawa anakimbiakimbia tu hovyo uwanjani na kuona haitoshi akatoa pasi kwa Welbeck ambaye bila ajizi alitufunga goli la pili.....

Kama umeangalia vizuri wakati dogo AOC natoka mashabiki walikuwa wakizomea na kumtukana AW,RVP alionekana kuhamaki......Ni bora angemtoa Walcott na si Alex Oxlade-Chamberlain.....

Kila mtu ameshangazwa na sub hii ya Wenger

Hata mimi mshabiki wa Man U nilishangaa!
 
Wacha1

Aisee nilimuona SAF akimpa bahasha AW......this time alitumia bahasha ya khaki kubwa tuu (wala hazikuwa zile ndogo ndogo anazotoa siku zote)......tena bila kificho......khe khe khe khe kheeeeeee
 
Pamoja na kuwa mnamlaumu AW kumtoa AOC but Manu walitakiwa wawe wanaongoza 4-0 hadi mapumziko.Ukweli Djorou,Walcott,Ramsey,Arshavin,Rosisky,Chamakh ni mizigo.Yani sikuamini Giggs na Carick ndio walikuwa wanawakimbiza vile,muda si mrefu mtaanza kuwa kama Liverpool kugombania nafasi ya Europa Cup
 
Leo Arsenal wameniudhi sana, we wanted to keep the gap far more. but bado sisi ni vijogoo kwa almost miezi sita sasa.
 
Mzee wenger aliua Timu baada ya kumtoa Oxlade! All in all tumecheza vizuri bahati haikuwa ya kwetu..focus is on next game
 
Pamoja na kuwa mnamlaumu AW kumtoa AOC but Manu walitakiwa wawe wanaongoza 4-0 hadi mapumziko.Ukweli Djorou,Walcott,Ramsey,Arshavin,Rosisky,Chamakh ni mizigo.Yani sikuamini Giggs na Carick ndio walikuwa wanawakimbiza vile,muda si mrefu mtaanza kuwa kama Liverpool kugombania nafasi ya Europa Cup

Hii tabia ya kusema kweli itasababisha watu wanune humu!
 
Back
Top Bottom