Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger kama amechoka apumzike, maamuzi yake yanaikosti timu..
 

...haya, nasubiria aje na vijisababu vyake vya ooohhh....refa, mara majeruhi, mara quality and potential is there...
hovyo kabisa.


huyu mzee mgonjwa sasa, si bure....ugonjwa utokanao na umri unaathiri maamuzi yake.
 
Ona Wenger ...............aaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh

Arshavin wa nini?

wenger mseng* anafanya sub gani mbaya hiyo

Washabiki wanamtukana Wenger ha ha ha ha ha

Wenga hana akili. Kwanini kamtoa The OX?

Mashabiki wanazomea.......Hawataki Chamberlain atoke

Hata RVP anashangaa

Kamtoa chamberline, hivi huyu Wenger amelogwa????? Huyu mzee bogus sana!!!!

....ebo? huyu Arsene Wenger naye vipi? Alex Chamberlain ndiye aliyekuwa anasaidia kuliko Theo!
hahahaha....sasa nimeamini huyu manager kweli anao ule ugonjwa wa wazungu vizee!

RVP kashangaa sana AOC kutolewa

huyu wenger anafikiria nini.. kufanya ile sub

Wenger hataki tushinde. na badilisha jina sasa kaniudhi sana

Yaani kamtoa dogo OX anaingiza hili RUSI?????

Sasa naelewa kwanini watu wanamlaumu Wenger

huyu coach naona amepanga kabla ya mpira kubadili wachezaji sio kwa mpira unavyokwenda sab zake zote sio za uhakika

Yaani leo kila mtu amemshangaa AW kwa upumbavu alioufanya wa kumtoa AOC na kumuingiza ASHA BOKO....

Anakera sana huyu mzee

Mkuu ule ushauri wako wa kwamba nibadilisha jina naukamilisha leo. Mzee mpumbavu sana.



In Wenger You Trust! hahahahahaha, losers!!
 
Hyanani natamani kuzivunja sheria za hapa nitukaneeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hadi tension iishe!!!!
 

...haya, nasubiria aje na vijisababu vyake vya ooohhh....refa, mara majeruhi, mara quality and potential is there...
hovyo kabisa.


huyu mzee mgonjwa sasa, si bure....ugonjwa utokanao na umri unaathiri maamuzi yake.

"you know people dont understand that Charmbelain is young and we have to protect him" Wenger huyo.
 
Back
Top Bottom