Pole sana, naona Prof Nutty amekuboa mpaka umebadili jina! Lakini naona hilo jina ulilochukua sasa nalo utabadili muda si mrefu Man City wakija kuchukua mchezaji wao atakapokuwa tayari....lol.
Ha ha ha mkuu leo Wenger kanitolea kali sana. Siwezi kuwakilisha jina lake kabisa.
Mara nyingi huwa najua anachelewa kufanya mabadiliko kwa vile anategemea maajabu kutoka kwa wachezaji wake hata kama dalili zinaonesha kunaitajika madiliko hili tupate ushindi.
Lakini leo vijana wamechachamaa wanafanya mashambulizi kutafuta ushindi, yeye anaenda kumtoa kiongozi wa mashambulizi anale zigo lake na kuwakatisha nguvu wachezaji wote. Kama nia yake kweli ilikuwa "captain wa Russia" aingie kulikuwa na wachezaji wa kuwatoa kama Rosicky, Ramsey au Walcott.
Hasira zangu leo zilifika mwisho mkuu.
Naibadilisha nita m-quote maneno yake ya leo kamba katuingizia Captain of Russia na bado tunalalamika lol.Labda na hiyo signature yako utoe pia, maana ni kama bado unaamini katika falsafa zake....hahaha!
Ha ha ha dogo tunampiga bonge la buy-out clause.
Mwacheni Prof afanye kazi yake nyie mnaingilia ingilia mlifundisha timu gani ikashinda? Makosa yanaweza kutokea mbona leo RVP kakosa sitter tena kwa mguu wake wa kushoto ambao ni leathal? Mimi nilipomwona refa wa leo nilijua tu kutakuwa na kazi kubwa ni refa huyu huyu alitoa penalty kwa opposition wakati free kick ilipopigwa kwa Gunners leo kaminya wakati Evra kazuia shuti kwa mikono miwili tena kwenye open play, Nani alitakiwa ale red card its so pathetic .... ..... ..... ni kweli Djarou na Arshavin hata Rosicky nae wanaboa lakini work rate yao ndiyo inayofanya wanapata mechi. Ramsey atapumnzika siku si nyingi mwenye namba anarudi. Msione vinaelea timu zote wanafahamu wazi hizi mechi zilizobaki itakuwa kazi kubwa. Wenzetu wana rupia sisi tuna wachezaji kama mnabisha angalieni Mancs mchezaji ambaye alikuwa ale red lakini akabaki uwanjani na wakapewa penalty hakuna coincidence ni brown envelopes.
Tusubiri technology ianze kama kwenye cricket na Tennis bila hivyo Mancs watashindana na mafioso wenzao.
TEHTEH! m naona bora ungejita Arsenal FC....ka alivo sema Peasant..siku akienda et had sijui utabadil tna?Naibadilisha nita m-quote maneno yake ya leo kamba katuingizia Captain of Russia na bado tunalalamika lol.
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAAAAA! Acha vurugu kijana.Kweli Wacha kwa mambo NANI aliyomfanyia Djorou alistahili red card,kuna jamaa anasema Djorou alimwekea kibao NANI kimeandikwa "PITA HUKU"
arsenal wapo kibiashara zaidi ...
Ana kiburi kama 'nyumba ndogo!'.Fire this stubborn manager.Khaaaah ............10-3=7
ana kiburi kama 'nyumba ndogo!'.
Mwacheni Prof afanye kazi yake nyie mnaingilia ingilia mlifundisha timu gani ikashinda?
Wacha bana sometimes anakuwa kama member mmoja anaitwa humu JF anaitwa Ritz......Wacha unafiki wewe, umeonekana pale Emirates ukimzomea Wenger kwamba hajui analofanya halafu hapa JF unajifanya kumtetea!!!!
Wacha bana sometimes anakuwa kama member mmoja anaitwa humu JF anaitwa Ritz......
​Sorry kiongozi Wacha kama nimekukwaza....