Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha fujo wewe, Naona Adebayor anawatoa msimu na jeuri mmepata.
Dah kamanda mzee wenger umemtema laiv kwenye nick?
aargh mmefuja bana mimi nilitaka mbanane mapafu leo mmeenda kuachia bana, sisi mechi yetu ya mwisho kupigwa ilikuwa leo.
Hitma ya gunnerz tunakuja kukufanyieni 26 februari imarati.

giv up to the white lane, its a soccer revolution.

hehehehe dah!
 
Dah kamanda mzee wenger umemtema laiv kwenye nick?
aargh mmefuja bana mimi nilitaka mbanane mapafu leo mmeenda kuachia bana, sisi mechi yetu ya mwisho kupigwa ilikuwa leo.
Hitma ya gunnerz tunakuja kukufanyieni 26 februari imarati.

giv up to the white lane, its a soccer revolution.

hehehehe dah!

Babu kanikera sana sitamsahau, ngumu sana kuendelea kuwakilisha jina lake. Sasa nawakilisha future ya Arsenal Chamberlain.

Redknapp anawatoa sana mna wachezaji kibao wengine hata hamjui kwanini mliwasajili lol.

Msipo pata kombe msimu huu Levy lazima atauza uza wachezaji .
 
Babu kanikera sana sitamsahau, ngumu sana kuendelea kuwakilisha jina lake. Sasa nawakilisha future ya Arsenal Chamberlain.

Redknapp anawatoa sana mna wachezaji kibao wengine hata hamjui kwanini mliwasajili lol.

Msipo pata kombe msimu huu Levy lazima atauza uza wachezaji .

venger ashazeeka bana, hata mimi leo aliniacha hoi mbaya sana yaani, jibaba kombe hatuchukui lakini manu tunae na hatumtoi ile ya pili yetu tu, halaf uhondo wenyewe basi tunawanyonga nyinyi halaf tunarudi lane kumsulubu manu.... hehehe hili fixture limekaa utamu kweli, nishabuki holidei aisee.
 
Maneno ya Wenger kutoka skysports haya.

"............... Arshavin is captain of the Russia national team.
"You have an 18-year-old kid making his first Premier League start and a player who's captain of his country and they are querying the substitution? Let's be serious.

"

Hapa bora angekaa kimya, maana anazidi kuniudhi kwa kunidhibitishia kuwa kweli aliweka dau lake kwa Man Utd.

Jamani kwa hali ya kawaida hivi ni kipi bora, Kuwa na kapteni wa Timu ya Taifa ya Urusi goigoi uwanjani au kuwa na kijana wa miaka 18 uwanjani ambaye anajituma kufa na kupona kuhakikisha timu yake inashinda huku akisha kutambua udhaifu wa timu pinzani ulipo?
 
venger ashazeeka bana, hata mimi leo aliniacha hoi mbaya sana yaani, jibaba kombe hatuchukui lakini manu tunae na hatumtoi ile ya pili yetu tu, halaf uhondo wenyewe basi tunawanyonga nyinyi halaf tunarudi lane kumsulubu manu.... hehehe hili fixture limekaa utamu kweli, nishabuki holidei aisee.

Sidhani kama mtatufunga mkuu. Labda kwa msaada wa Wenger lol.
 
Hapa bora angekaa kimya, maana anazidi kuniudhi kwa kunidhibitishia kuwa kweli aliweka dau lake kwa Man Utd.

Jamani kwa hali ya kawaida hivi ni kipi bora, Kuwa na kapteni wa Timu ya Taifa ya Urusi goigoi uwanjani au kuwa na kijana wa miaka 18 uwanjani ambaye anajituma kufa na kupona kuhakikisha timu yake inashinda huku akisha kutambua udhaifu wa timu pinzani ulipo?

Mie mwenyewe nimeshangaa sema nimsamehe kwa vile nimeshagundua matatizo yake sasa.
 
Babu kanikera sana sitamsahau, ngumu sana kuendelea kuwakilisha jina lake. Sasa nawakilisha future ya Arsenal Chamberlain.

Redknapp anawatoa sana mna wachezaji kibao wengine hata hamjui kwanini mliwasajili lol.

Msipo pata kombe msimu huu Levy lazima atauza uza wachezaji .

duuhhhh, maaaazeee umebadili jina? hahahaha!....pole sana bana ila
muda mrefu nimekuwa nakuangalia na hilo jina with admiration ya hiyo tai shingoni!

klorokwini na shedafa mwaka wenu huu...endeleeni kupasha moto kiti....!
 
Mwacheni Prof afanye kazi yake nyie mnaingilia ingilia mlifundisha timu gani ikashinda? Makosa yanaweza kutokea mbona leo RVP kakosa sitter tena kwa mguu wake wa kushoto ambao ni leathal? Mimi nilipomwona refa wa leo nilijua tu kutakuwa na kazi kubwa ni refa huyu huyu alitoa penalty kwa opposition wakati free kick ilipopigwa kwa Gunners leo kaminya wakati Evra kazuia shuti kwa mikono miwili tena kwenye open play, Nani alitakiwa ale red card its so pathetic .... ..... ..... ni kweli Djarou na Arshavin hata Rosicky nae wanaboa lakini work rate yao ndiyo inayofanya wanapata mechi. Ramsey atapumnzika siku si nyingi mwenye namba anarudi. Msione vinaelea timu zote wanafahamu wazi hizi mechi zilizobaki itakuwa kazi kubwa. Wenzetu wana rupia sisi tuna wachezaji kama mnabisha angalieni Mancs mchezaji ambaye alikuwa ale red lakini akabaki uwanjani na wakapewa penalty hakuna coincidence ni brown envelopes.

Tusubiri technology ianze kama kwenye cricket na Tennis bila hivyo Mancs watashindana na mafioso wenzao.
 

duuhhhh, maaaazeee umebadili jina? hahahaha!....pole sana bana ila
muda mrefu nimekuwa nakuangalia na hilo jina with admiration ya hiyo tai shingoni!

klorokwini na shedafa mwaka wenu huu...endeleeni kupasha moto kiti....!
Ha ha ha mkuu leo Wenger kanitolea kali sana. Siwezi kuwakilisha jina lake kabisa.

Mara nyingi huwa najua anachelewa kufanya mabadiliko kwa vile anategemea maajabu kutoka kwa wachezaji wake hata kama dalili zinaonesha kunaitajika madiliko hili tupate ushindi.

Lakini leo vijana wamechachamaa wanafanya mashambulizi kutafuta ushindi, yeye anaenda kumtoa kiongozi wa mashambulizi anale zigo lake na kuwakatisha nguvu wachezaji wote. Kama nia yake kweli ilikuwa "captain wa Russia" aingie kulikuwa na wachezaji wa kuwatoa kama Rosicky, Ramsey au Walcott.

Hasira zangu leo zilifika mwisho mkuu.
 
AW nilikuwa sijagundua ndio wewe uliyebadili jina .... ..... ...... ....... not a good sign for your judgement. I can guarantee you that this season people will be surprised.
 
AW nilikuwa sijagundua ndio wewe uliyebadili jina .... ..... ...... ....... not a good sign for your judgement. I can guarantee you that this season people will be surprised.

Mkuu ni mimi. Wenger leo amenikera sana kwa maamuzi yake ya kumtoa Chamberlain na kumleta Arshavin. Nimeshindwa kujua nia yake nini ilikua.
 
Mkuu ni mimi. Wenger leo amenikera sana kwa maamuzi yake ya kumtoa Chamberlain na kumleta Arshavin. Nimeshindwa kujua nia yake nini ilikua.

Alipewa muda wa kucheza na madaktari, angevuta msuli maloloso yangekuwa mengine.... ......
 
Alipewa muda wa kucheza na madaktari, angevuta msuli maloloso yangekuwa mengine.... ......

Daktari wapi, sasa Arshavin na Oc nani anaonekana mgonjwa au katoka kuumwa? Mkuu Wenger kachemka vibaya sana pale, anazeeka vibaya kinoma.
 
Duuh Wacha1......ulikuwa wapi mazee, watu wanamsingizia Mrusi wakati mziki ulikuwa mzito.......hakuna cha bahasha wala refa........ni mziki mzito.....
 
Wacha
Siku zote ulipokuwa unasema brown sikuwa nakutia akilini lakini leo kweli nimona
Man city walikuwa wale two red card wala hazina bahati mbaya lakini bahasha haisemi uongo
Kuhusu chama kweli tuna wagonjwa wengi mimi sitii maanani sana kuchukuwa ubingwa kwani wachezaji wengi ni wagonjwa na leo umeona Man united walikuwa wakiogopa kwenda mbele walitegemea counter attack na ref goli la mwanzo kama nililiona vizuri kama ni off side kwani kabla ya cross tayari jamaa alikuwa ameshatoka
 
Wacha
Siku zote ulipokuwa unasema brown sikuwa nakutia akilini lakini leo kweli nimona
Man city walikuwa wale two red card wala hazina bahati mbaya lakini bahasha haisemi uongo
Kuhusu chama kweli tuna wagonjwa wengi mimi sitii maanani sana kuchukuwa ubingwa kwani wachezaji wengi ni wagonjwa na leo umeona Man united walikuwa wakiogopa kwenda mbele walitegemea counter attack na ref goli la mwanzo kama nililiona vizuri kama ni off side kwani kabla ya cross tayari jamaa alikuwa ameshatoka

Acheni hizoo......naona mwenzio Wacha1 anataka/anategemea/anatarajia mambo ya cricket kwenye football.....
 
Babu kanikera sana sitamsahau, ngumu sana kuendelea kuwakilisha jina lake. Sasa nawakilisha future ya Arsenal Chamberlain.

Redknapp anawatoa sana mna wachezaji kibao wengine hata hamjui kwanini mliwasajili lol.

Msipo pata kombe msimu huu Levy lazima atauza uza wachezaji .


Pole sana, naona Prof Nutty amekuboa mpaka umebadili jina! Lakini naona hilo jina ulilochukua sasa nalo utabadili muda si mrefu Man City wakija kuchukua mchezaji wao atakapokuwa tayari....lol.
 
Back
Top Bottom