Wangetuokolea soka kwa wahuni mapema sanaPsg Kama wangekuwa makini wangeshinda Kama nne hivi
Huyo ni mpuuzi mmoja tu unadhani hata tunamzingatia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aiseee ila Admin wa Chelsea kwenye Insta page yao ana roho mbaya sana aiseee, sio kwa hayo masimango aliyopost baada ya Arsenyau kukosa Uefa.
Angewapa Penati PSG Saka alishika, na lile Goli la Arsenal Trosand alianza kwa kushika ,na Yule Beki aliemkwatua Namba saba wa PSG na kusababisha Penati alitakiwa njano ambayo ingepelekea red card..Game nzuri, vijana wamejitahidi
Japo muamuzi hakua fair kabisa..
Vp penalty ya eze, ulivoona anaenda kupiga ulijua nn?Ndo hakufunga sasa, nilivyoona Gabriel anaenda kuipiga nikajua hii inaenda juu.
Penalty ya 5 imejaa presha haswa inahitaji fundi na mzoefu haswa.
Huenda training alikuwa anapata lakini still Gabriel kwenye tuta anatakiwa kuwa mtu wa 9 au 10 huko
All in all still ni best defender kwa sasa worldwide
Kumzungumzia tuu hapa inaonyesha umemzingatia 😂Huyo ni mpuuzi mmoja tu unadhani hata tunamzingatia
Mm naishi Morogoro mkuu, huko makumbusho cpajui 😎Dogo kupita njia ya makumbusho, kusi kufanye ujione kichwa maji
Gyokerez mwenyewe mmeshindwa kumtumia Kwanini mumsajili Alvarez?Viva arsenal 🔥, Alvarez njoo arsenal
Mkuu una ndoto za kijinga mtu kashasaini mkataba na ameshatambulishwa tayariLolote linawezekana nyakati hizi
Nyie kocha ambaye anawafaa na anaendana na mpira wenu ni kocha yule wa BournemouthAlonso si ameshamalizana na Rent boys?
Eze nilijua kamba , nashangaa ikapita nje kabisa ya goal na kacheza dakika 30 tu.Vp penalty ya eze, ulivoona anaenda kupiga ulijua nn?
Bc mpaka hapo ujue hakunaga fundi wa penaltiEze nilijua kamba , nashangaa ikapita nje kabisa ya goal na kacheza dakika 30 tu.
Kwanza wamshukuru Mungu wamepita njia nyepesi mpaka wanaingia fainal huwezi kufananisha na njia aliyopita PSGHaya mtasubiria miaka 20 mingine ndipo mje mcheze tena final ya UCL .
Watch out boy i mean to play the final not to win it.
Eti next season 😂😂😂Hongereni Gunners.
Siyo mbaya.
Next season tutachukua hili kombe.
Njia waliopita Arsenyembo ni sawa na waliopita Chelsea kwenye kombe la dunia, n bc tuu psg alichezea nyingi hvy ikaonekana Chelsea n bora kuzidi psgKwanza wamshukuru Mungu wamepita njia nyepesi mpaka wanaingia fainal huwezi kufananisha na njia aliyopita PSG