Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gunners mnachukiwa kinoma worldwide, jana ni kama sherehe mmekosa ubingwa kubabake ...... ningekuwa mnywaji jana ningerudi home nikiwa tila lila, sio kwa ile furaha !!

All in all, hii haiwaondolei heshima kwa mlichokifanya msimu huu , kwanza mmechukua EPL baaada ya miaka 20+....

Mmefanikiwa kufika final ya ulaya bila kupoteza na ku- concede goli chache hio ni pride pia !
Ili m-dominate ulaya kikosi chenu kinahitaji maingizo machache ...
Wamefika fainali kwa kupitia njia nyepesi huwezi kulinganisha na PSG Hilo walipaswa wamshukuru Mungu
 
Bc mpaka hapo ujue hakunaga fundi wa penalti
Fundi wa penalty hakuna ila kumpa Gabriel Bado si sahihi . Ndio maana hakuna anayemlaumu Gabi kwa kukosa penalty . Gabriel ni defender anayejitoa haswa.
Madueke nakumbuka alikua anagombania penalty na palmer akiwa Chelsea huu ndio ilikuwa wakati wake wangempa yeye ili hata akikosa alaumiwe na kina castr 😄
 
Fundi wa penalty hakuna ila kumpa Gabriel Bado si sahihi . Ndio maana hakuna anayemlaumu Gabi kwa kukosa penalty . Gabriel ni defender anayejitoa haswa.
Madueke nakumbuka alikua anagombania penalty na palmer akiwa Chelsea huu ndio ilikuwa wakati wake wangempa yeye ili hata akikosa alaumiwe na kina castr 😄
Kwakuwa hukutegemea eze kukosa penalty, bc tuishie hapo hapo kuwa hakuna fundi wa penalti
 
Kwakuwa hukutegemea eze kukosa penalty, bc tuishie hapo hapo kuwa hakuna fundi wa penalti
Suala ni kwanini umpe Gabi? Sijawahi kuona Gabi anapiga penalty na inawezekana hajawahi kabisa tofauti na mazoezini na hata magoli yake mengi ni ya kichwa na si ya kutumia mguu . Lakini mwanangu madueke mpaka anagombania kupiga penalty tena kwenye mechi live kabisa huu ndio ilikuwa wakati wake sasa😄.
Arteta naye kuna muda pressure ya maamuzi inakuwa kubwa musqera alikua ana kadi ya njano kulikua hakuna haja ya kusubiri mpaka dakika ya 70 kufanya sub na timber yupo benchi .
Wale PSG nao duuuh 🔥 🔥 🔥 mpira muda wote wanao wao tu pia Arsenal kushika bomba defence wanayo kweli
 
Suala ni kwanini umpe Gabi? Sijawahi kuona Gabi anapiga penalty na inawezekana hajawahi kabisa tofauti na mazoezini na hata magoli yake mengi ni ya kichwa na si ya kutumia mguu . Lakini mwanangu madueke mpaka anagombania kupiga penalty tena kwenye mechi live kabisa huu ndio ilikuwa wakati wake sasa😄.
Arteta naye kuna muda pressure ya maamuzi inakuwa kubwa musqera alikua ana kadi ya njano kulikua hakuna haja ya kusubiri mpaka dakika ya 70 kufanya sub na timber yupo benchi .
Wale PSG nao duuuh 🔥 🔥 🔥 mpira muda wote wanao wao tu pia Arsenal kushika bomba defence wanayo kweli
Yah defense ya arsenal iko fantastic knoma
 
Huyo ni mpuuzi mmoja tu unadhani hata tunamzingatia
20260530_233527.jpg

Hamjamzingatia na umepaniki!!
 
kwa mpira huu wa msimu huu wote pamoja na huu wa leo dhidi ya PSG nilio ushuhudia.. timu itaendelea kutawala labda EPL tu lakini sio UCL.

ni vile tu makocha wengi wazuri wapo na timu zao la sivyo arteta ingebidi ki staarabu tu abwage manyanga.

arsenal ina squad nzuri na pana ,kitu imekosa kwa sasa ni kocha na hasa wa kuweka mpira chini na sio mda wote wee unapiga ndege tu utafkiri goli liko juu!
Kipindi walivyokuwa wanacheza sexy football mbona walikuwa hawafiki mbali?
 
Back
Top Bottom