Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 47,676
- 114,172
Bc mpaka hapo ujue hakunaga fundi wa penaltiEze nilijua kamba , nashangaa ikapita nje kabisa ya goal na kacheza dakika 30 tu.
Bc mpaka hapo ujue hakunaga fundi wa penaltiEze nilijua kamba , nashangaa ikapita nje kabisa ya goal na kacheza dakika 30 tu.
Kwanza wamshukuru Mungu wamepita njia nyepesi mpaka wanaingia fainal huwezi kufananisha na njia aliyopita PSGHaya mtasubiria miaka 20 mingine ndipo mje mcheze tena final ya UCL .
Watch out boy i mean to play the final not to win it.
Eti next season 😂😂😂Hongereni Gunners.
Siyo mbaya.
Next season tutachukua hili kombe.
Njia waliopita Arsenyembo ni sawa na waliopita Chelsea kwenye kombe la dunia, n bc tuu psg alichezea nyingi hvy ikaonekana Chelsea n bora kuzidi psgKwanza wamshukuru Mungu wamepita njia nyepesi mpaka wanaingia fainal huwezi kufananisha na njia aliyopita PSG
Njia yenyewe mliopita ilikuwa nyepesi mshukuruni Mungu tofauti na PSG mpaka mnafika fainali kuanzia hatua ya 16 boraSiku zote ninaamini hatuna kipa wa kuzuia penati.
Anyways, msimu ujao we go again
Wamefika fainali kwa kupitia njia nyepesi huwezi kulinganisha na PSG Hilo walipaswa wamshukuru MunguGunners mnachukiwa kinoma worldwide, jana ni kama sherehe mmekosa ubingwa kubabake ...... ningekuwa mnywaji jana ningerudi home nikiwa tila lila, sio kwa ile furaha !!
All in all, hii haiwaondolei heshima kwa mlichokifanya msimu huu , kwanza mmechukua EPL baaada ya miaka 20+....
Mmefanikiwa kufika final ya ulaya bila kupoteza na ku- concede goli chache hio ni pride pia !
Ili m-dominate ulaya kikosi chenu kinahitaji maingizo machache ...
Marehemu alikuwa kamdomo sanaMnaona wanaanza kujipendekeza sasa. Bado punda mwingine atakuja kujichekesha soon
Fundi wa penalty hakuna ila kumpa Gabriel Bado si sahihi . Ndio maana hakuna anayemlaumu Gabi kwa kukosa penalty . Gabriel ni defender anayejitoa haswa.Bc mpaka hapo ujue hakunaga fundi wa penalti
Kwakuwa hukutegemea eze kukosa penalty, bc tuishie hapo hapo kuwa hakuna fundi wa penaltiFundi wa penalty hakuna ila kumpa Gabriel Bado si sahihi . Ndio maana hakuna anayemlaumu Gabi kwa kukosa penalty . Gabriel ni defender anayejitoa haswa.
Madueke nakumbuka alikua anagombania penalty na palmer akiwa Chelsea huu ndio ilikuwa wakati wake wangempa yeye ili hata akikosa alaumiwe na kina castr 😄
Wamefika fainali kwa kupitia njia nyepesi huwezi kulinganisha na PSG Hilo walipaswa wamshukuru Mungu
Hii yote ni kwavile unaamini una kocha mzuri sana?Mkuu una ndoto za kijinga mtu kashasaini mkataba na ameshatambulishwa tayari
Ulichoona ni matokeo ya kushika nafasi ya kwanzaNjia yenyewe mliopita ilikuwa nyepesi mshukuruni Mungu tofauti na PSG mpaka mnafika fainali kuanzia hatua ya 16 bora
Timu yako imemfukuza Rosemary. Imemuajiri kocha anaitwa Alonso, alifukuzwa Madrid.Marehemu alikuwa kamdomo sana
Suala ni kwanini umpe Gabi? Sijawahi kuona Gabi anapiga penalty na inawezekana hajawahi kabisa tofauti na mazoezini na hata magoli yake mengi ni ya kichwa na si ya kutumia mguu . Lakini mwanangu madueke mpaka anagombania kupiga penalty tena kwenye mechi live kabisa huu ndio ilikuwa wakati wake sasa😄.Kwakuwa hukutegemea eze kukosa penalty, bc tuishie hapo hapo kuwa hakuna fundi wa penalti
Yah defense ya arsenal iko fantastic knomaSuala ni kwanini umpe Gabi? Sijawahi kuona Gabi anapiga penalty na inawezekana hajawahi kabisa tofauti na mazoezini na hata magoli yake mengi ni ya kichwa na si ya kutumia mguu . Lakini mwanangu madueke mpaka anagombania kupiga penalty tena kwenye mechi live kabisa huu ndio ilikuwa wakati wake sasa😄.
Arteta naye kuna muda pressure ya maamuzi inakuwa kubwa musqera alikua ana kadi ya njano kulikua hakuna haja ya kusubiri mpaka dakika ya 70 kufanya sub na timber yupo benchi .
Wale PSG nao duuuh 🔥 🔥 🔥 mpira muda wote wanao wao tu pia Arsenal kushika bomba defence wanayo kweli
Sisi si mnatujua huwa tuna katabia ka kusonga mbele kidogo msimu kwa msimu? 😁😁😁Eti next season 😂😂😂
Huyo ni mpuuzi mmoja tu unadhani hata tunamzingatia
Kipindi walivyokuwa wanacheza sexy football mbona walikuwa hawafiki mbali?kwa mpira huu wa msimu huu wote pamoja na huu wa leo dhidi ya PSG nilio ushuhudia.. timu itaendelea kutawala labda EPL tu lakini sio UCL.
ni vile tu makocha wengi wazuri wapo na timu zao la sivyo arteta ingebidi ki staarabu tu abwage manyanga.
arsenal ina squad nzuri na pana ,kitu imekosa kwa sasa ni kocha na hasa wa kuweka mpira chini na sio mda wote wee unapiga ndege tu utafkiri goli liko juu!
Wanaosema mnacheza mpira mbovu ndio hao hao walikuwa wanawaponda mlivyokuwa mnacheza sexy football na hamlikuwa hamfiki mbaliTumchukue Slot au unasemaje?