Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnasema....
.......Mmecheza mpira mzuri kwa zaidi ya miaka 20??Arsenal hamjawahi kucheza mpira mzuri .

Huo mpira mzuri mliucheza msimu upi ??na Mliucheza chini ya kocha gani??
 
Kipindi walivyokuwa wanacheza sexy football mbona walikuwa hawafiki mbali?

sexy football against man city ya pep au.. ni hivi ,bila kucheza na wee ukiwa nd first gear ni ngumu kushinda mechi.

mtawale mpinzani kwa umiliki wa mpira na uwe ambao ni positive ,sio unapiga pasi nyingi zaidi golini kwako af useme unacheza sexy football.

all in all.. arteta amefanya kazi nzuri.. ila next step ya UCL kwa mpira kama ule.. dhidi ya timu zinazocheza kama psg.. itakuwa ngumu ku win.
 
Vitinha, joao na Ruiz ....Waliwafundisha namna mpira unachezwa, nyie mmepata goli la mapema mkakimbilia kuzuia....mkapaliwa... sidhan kama mechi nzima mlipata on target 4, alafu umiliki hauzidi 30% what a shame!

Kikosi mkirekebisha baadhi ya maeneo mfano kule LW, then AM mzuri mwenye jicho kali the likes of akina cherki, bruno, madders n.k then kule namba 2, Timber ni injury atafutiwe msaidizi...White baada ya ile injury hakuwahi kuwa yule tena.... alafu mmnalize na hapo namba tisa mkatili jitu kama haaland , alvarez n.k
 
Vitinha, joao na Ruiz ....Waliwafundisha namna mpira unachezwa, nyie mmepata goli la mapema mkakimbilia kuzuia....mkapaliwa... sidhan kama mechi nzima mlipata on target 4, alafu umiliki hauzidi 30% what a shame!

Kikosi mkirekebisha baadhi ya maeneo mfano kule LW, then AM mzuri mwenye jicho kali the likes of akina cherki, bruno, madders n.k then kule namba 2, Timber ni injury atafutiwe msaidizi...White baada ya ile injury hakuwahi kuwa yule tena.... alafu mmnalize na hapo namba tisa mkatili jitu kama haaland , alvarez n.k
Hii ishu yakumfikishia Arteta.
 
Arteta jana kaogopa mnoo, mwishowe katuletea fedheha..

Wale die hard fans wa zubi mko wapi?
Approach aliyotumia Arteta mi nimeona kama ilikua sahihi, ni mistake tu kidogo iliyofanyika approach ilikua ilipe, wangesema watunishiane misuli Arsenal wangepasuka nyingi tu mana PSG kwa swala la Transition wapo vizur sana aisee.
1730971860064.jpg
 
fuentte unaelewa sasa nikisema nyinyi ni wanafiki?

Soma alichoandika huyu halafu kidigest
Pole sana mkuu Castr
Kila mtu ana mtizamo wake kulingana na jinsi anavyouchukulia mpira wa miguu. Kwangu mimi kabla ya takwimu za magoli, assist na mataji hazijaanza kutumika kama kielelezo cha ubora wa timu, mwalimu au mchezaji, nilipenda zaidi burudani inayoambatana na utawala wa mchezo.

Nitaendelea tena kusimamia point yangu kwamba Arsena ya msimu huu imepungua ubora kwenye vigezo viwili kama utawala wa mchezo na mpira wa kuburudisha ukilinganisha na arsenal ya misimu miwili nyuma, Lakini simlaumu sana Arteta sababu ya presha ya mataji anayopata toka kwenu mashabiki.
 
Vitinha, joao na Ruiz ....Waliwafundisha namna mpira unachezwa, nyie mmepata goli la mapema mkakimbilia kuzuia....mkapaliwa... sidhan kama mechi nzima mlipata on target 4, alafu umiliki hauzidi 30% what a shame!

Kikosi mkirekebisha baadhi ya maeneo mfano kule LW, then AM mzuri mwenye jicho kali the likes of akina cherki, bruno, madders n.k then kule namba 2, Timber ni injury atafutiwe msaidizi...White baada ya ile injury hakuwahi kuwa yule tena.... alafu mmnalize na hapo namba tisa mkatili jitu kama haaland , alvarez n.k
Issue sio kuwa wachezaji mfumo wa Arterta uko hivyo hata aletewe nani, gyokerez ni mchezaji mzuri ndio top scorer wa team yake ya Taifa na hata alivyokuwa sporting Lisbon alikuwa anafunga for fun lakini aina ya mpira wa Arteta ulivyo utegemei striker ndio maana unamuona si chochote
 
Pole sana mkuu Castr
Kila mtu ana mtizamo wake kulingana na jinsi anavyouchukulia mpira wa miguu. Kwangu mimi kabla ya takwimu za magoli, assist na mataji hazijaanza kutumika kama kielelezo cha ubora wa timu, mwalimu au mchezaji, nilipenda zaidi burudani inayoambatana na utawala wa mchezo.

Nitaendelea tena kusimamia point yangu kwamba Arsena ya msimu huu imepungua ubora kwenye vigezo viwili kama utawala wa mchezo na mpira wa kuburudisha ukilinganisha na arsenal ya misimu miwili nyuma, Lakini simlaumu sana Arteta sababu ya presha ya mataji anayopata toka kwenu mashabiki.
Ndiyo sababu nikajibu kwa shabiki asiye wa Arsenal hakuna msimu ambao Arsenal ilikua nzuri. Kwangu mimi Arsenal ya Arteta ambayo ilikua exciting kuangalia ni ya 22/23 na 23/24. Il in terms of efficiency Arsenal ya msimu huu ilikua efficient zaidi.

Hua siutaji msimu wa 24/25 kwakua ule msimu hatukua na plan na kombe lolote tuliingia tukiwa hovyo. Hata second position ilikua overachieving.

Kama hiyo ni namna yako ya kushabikia mpira sielewi ilikuaje ukanasa United. M
 
Issue sio kuwa wachezaji mfumo wa Arterta uko hivyo hata aletewe nani, gyokerez ni mchezaji mzuri ndio top scorer wa team yake ya Taifa na hata alivyokuwa sporting Lisbon alikuwa anafunga for fun lakini aina ya mpira wa Arteta ulivyo utegemei striker ndio maana unamuona si chochote

Sahihi, licha ya mfumo mmbovu wa kujilinda na kutegemea setpicess, kuna namna kwenye baadhi ya maeneo wanawakosa watu wa kuamua game ... huwezi kuwa na AM ambaye mda wote ni side way na back passes .... hii ni changamoto pia ....
 
Ndiyo sababu nikajibu kwa shabiki asiye wa Arsenal hakuna msimu ambao Arsenal ilikua nzuri. Kwangu mimi Arsenal ya Arteta ambayo ilikua exciting kuangalia ni ya 22/23 na 23/24. Il in terms of efficiency Arsenal ya msimu huu ilikua efficient zaidi.

Hua siutaji msimu wa 24/25 kwakua ule msimu hatukua na plan na kombe lolote tuliingia tukiwa hovyo. Hata second position ilikua overachieving.

Kama hiyo ni namna yako ya kushabikia mpira sielewi ilikuaje ukanasa United. M
Man utd alinileta Eric Cantona tena kwa kusoma historia yake kwenye magazeti na muonekano wake kwenye picha mnato, ila sikuwahi kushuhudia akicheza mechi hata moja.

Kwenye soka napenda entertainment zaidi kuliko takwimu za magoli na assist hasa toka kwa wachezaji wachezeshaji kama akina Requelme, Fabregas, Scholes, Nedved, iniesta, n.k ila pia napenda fluidity ya timu kama iliyokuwa nayo arsenal ya wenger na barca ya Pep.
 
Tangu filimbi ya kwanza arsenal ilionekana kuja na wazo la kufanya pressing kuanzia juu na plan yao ilikuwa kama inaenda kufanya kazi maana PSG walikuwa clueless kwenye namna ya kujiondoa kwenye hiyo kadhia. Tatizo lilikuja mlipopata goli la mapema mkajifanya second team mkapaki basi. Ila defence ya psg ilikuwa shaky kwenye moments nyingi sana mngeweza kuzitumia kuwaadhibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom