Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mmevunja rekodi nyingine ya kuchukua ubingwa ila hamjatoa mchezaji bora wa ligi sababu ya magoli ya kona wadau. Big Up
Acheni kupotosha watu, na inaonesha nyie sio wafuatiliaji wa kina wa Ligi Uingereza, ni wakurupukaji tu hamjui hamna data zozote watoto wa elfu10, Mimi ni Liverpool fan, lakini nikupe taarifa hii...
Klopp na Liverpool yake walichukua ubingwa Epl msimu wa 2019/20 baada miaka 30 na Mchezaji Bora wa msimu wa Ligi alikuwa kiungo mchezeshaji wa Mancity Kevin De Bruyne, hebu kabla kuongea muwe mnakuja na taarifa Sahihi za uhakika.
 
Martinelli bado ana kitu miguuni mwake abaki kwa msimu mmoja au miwili
Mkuu labda una mapenzi binafsi....ila kwa muda alopata wa kucheza Martinelli mpk sasa....kiukweli kabisa kwa pale Arsenal uwezo wake umeishia pale....yaani hafundishiki zaidi....akienda ligi nyingine atang'aa ila sio EPL....aondoke aje Rodgers wasaidiane na trossard pale
 
Uefa ya kwanza mliichukua mwaka gani masta, tuweke records sawa !
1994 - UEFA Cup Winners Cup, Coppenhagen. Arsenal tulishinda 1-0 dhidi ya Parma ya Italia.

Hili kombe lilikuwa linapambaniwa na timu zilishoshinda vikombe vya ndani vya ligi za Ulaya kama vile FA Cup ya England, Copa del Rey ya Spain, etc.

Mwaka 1999 hili kombe lilikuja kufutwa na kujumuishwa na shindano lingine, Europa League baada ya mfumo wa Champions League kubadilika na kuanza kuchukua timu za nafasi za juu, badala ya washindi wa vikombe vya ndani tu. Tukitaka 'kujimwambafy' saaana tunaweza kusema tuna ka Europa au ka pre-Europa kamoja.

Mwaka 1995 tulifika fainali katika kutetea ubingwa wetu ila tulipigwa 1-2 na Real Zaragoza ya Spain.

1780134054412.png
 
Liver wamemfukuza kipara. Nitacheka wakimtaka Alonso na Alonso akikubali
 
1994 - UEFA Cup Winners Cup, Coppenhagen. Arsenal tulishinda 1-0 dhidi ya Parma ya Italia.

Hili kombe lilikuwa linapambaniwa na timu zilishoshinda vikombe vya ndani vya ligi za Ulaya kama vile FA Cup ya England, Copa del Rey ya Spain, etc.

Mwaka 1999 hili kombe lilikuja kufutwa na kujumuishwa na shindano lingine, Europa League baada ya mfumo wa Champions League kubadilika na kuanza kuchukua timu za nafasi za juu, badala ya washindi wa vikombe vya ndani tu. Tukitaka 'kujimwambafy' saaana tunaweza kusema tuna ka Europa au ka pre-Europa kamoja.

Mwaka 1995 tulifika fainali katika kutetea ubingwa wetu ila tulipigwa 1-2 na Real Zaragoza ya Spain.

View attachment 3597505
Hendry eeh, unajua nakuheshim, hicho kikombe unaona kinafanana na hichi?
images.jpg

Au na ww umeshaanza kutumia vinywaji vya dereva boda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom