Kuna muda mpaka nashikwa na huruma , nembu Leo tusahau yote tujadili kiungwana tu wakuu.
Tatizo la timu yetu ni Nini ?? Katika game ya 31 tulikua tunaongoza kwa difference ya point 9 zikiwa zimebaki game 7 , only 7 games to go tukakubaliana kila mmoja ashinde games zake, ghafla tu saivi ni goals difference ndio tunaongelea from 9 points ahead.
Ukitaka kuamini mashabiki wa arsenal ni wendawazimu still wanaamini watashindaa hili kombe kwa goal difference

kutoka kwenye 9 points ahead.
Nyinyi msimu huu hili jukwaa ni either libadilishe jina liwe false hopers au muendelee na jina lenu ila kwa shartii Moja tu tuwaite kwenye HQ za JF tuwachape viboko hadharani.
Maana mtaueleza Nini tuwaelewe?