Mbrazil wa kwerekwe hhhhhhhDaaah!!!!! Ilikuawaje Gabriel ndo akawa last penalty taker?
Hao wengine wangapi wamecheza na hii PSG?Arsenyau mmeidhalilisha Epl aiseee, yaani wenzenu wote walioshiriki michuano ya ulaya msimu huu wameleta makombe nyumbani halafu nyinyi mnarudi mikono mitupu hamuoni hata aibu?
Uefa not for fool


Aiseee ila Admin wa Chelsea kwenye Insta page yao ana roho mbaya sana aiseee, sio kwa hayo masimango aliyopost baada ya Arsenyau kukosa Uefa.Tujipange tenaPenati anakosa yoyote yule sio beki au mshambuliaji
😄😃😃 Kimewalamba
Ni sawa tu. Kikubwa wote tuwe na wachezaji 11Msimu ujao hamna kupangwa na vibonde kina sporting CP.
Tumchukue Slot au unasemaje?kwa mpira huu wa msimu huu wote pamoja na huu wa leo dhidi ya PSG nilio ushuhudia.. timu itaendelea kutawala labda EPL tu lakini sio UCL.
ni vile tu makocha wengi wazuri wapo na timu zao la sivyo arteta ingebidi ki staarabu tu abwage manyanga.
arsenal ina squad nzuri na pana ,kitu imekosa kwa sasa ni kocha na hasa wa kuweka mpira chini na sio mda wote wee unapiga ndege tu utafkiri goli liko juu!
Hii sekta kila mtu anajiona anajua mkuu kuliko ambao ni pro, hatari sana.Tumchukue Slot au unasemaje?
Tumchukue Slot au unasemaje?
Mkuu naangalia my journey to you, kina sword wielderMtoto hala