Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilitaka kushangaa yaani msimu huu kwenye hii michuano yooote Arsenyau akose kumaliza nafasi ya pili kweli?
Hatujawazoea kabisa hivyo ndugu zetu.
1750926415216.jpg
 
Arsenyau mmeidhalilisha Epl aiseee, yaani wenzenu wote walioshiriki michuano ya ulaya msimu huu wameleta makombe nyumbani halafu nyinyi mnarudi mikono mitupu hamuoni hata aibu?
Hao wengine wangapi wamecheza na hii PSG?
 
kwa mpira huu wa msimu huu wote pamoja na huu wa leo dhidi ya PSG nilio ushuhudia.. timu itaendelea kutawala labda EPL tu lakini sio UCL.

ni vile tu makocha wengi wazuri wapo na timu zao la sivyo arteta ingebidi ki staarabu tu abwage manyanga.

arsenal ina squad nzuri na pana ,kitu imekosa kwa sasa ni kocha na hasa wa kuweka mpira chini na sio mda wote wee unapiga ndege tu utafkiri goli liko juu!
 
kwa mpira huu wa msimu huu wote pamoja na huu wa leo dhidi ya PSG nilio ushuhudia.. timu itaendelea kutawala labda EPL tu lakini sio UCL.

ni vile tu makocha wengi wazuri wapo na timu zao la sivyo arteta ingebidi ki staarabu tu abwage manyanga.

arsenal ina squad nzuri na pana ,kitu imekosa kwa sasa ni kocha na hasa wa kuweka mpira chini na sio mda wote wee unapiga ndege tu utafkiri goli liko juu!
Tumchukue Slot au unasemaje?
 
Back
Top Bottom