Halafu ndio nilitaka nikuite nikuulize maana wewe ndio unazijua ID zake.
Chizi Maarifer.Halafu ndio nilitaka nikuite nikuulize maana wewe ndio unazijua ID zake.
Ndio huyohuyo Busu la Kenge na kuna ID nyingine nimeisahau ameweka Avatar ya Kipepe alikuwa ananisumbua nayo sana kila siku kunitania!
Halafu ndio nilitaka nikuite nikuulize maana wewe ndio unazijua ID zake.
Ndio huyohuyo Busu la Kenge na kuna ID nyingine nimeisahau ameweka Avatar ya Kipepe alikuwa ananisumbua nayo sana kila siku kunitania!
Hahahhaaha Kummmke computer arsenal huyu mtu umenikumbusha mbali sana, kipindi kina saka na smith rowe ndio wanaanza kuaminika, jamaa alikuwa anajua kulalamika huyuYule muhuni computerarsenal yuko wapi mammae maana tulitibuana sana humu jukwaani na kauli zake za Arteta Out
Msimu huu mmeshindwa nini kufika hizo pointi 97?Kuchukua ubingwa kwa point 82 ni sawa na kujiona kipanga kwenye darasa la vilaza. Fainali ya UCL naiona aibu kubwa sana inakuja kwa Gunners. Msimu wa 2018/19 ndo ilikua na title battle Bora kabisa. Point 97 na bado tukakosa ubingwa, sitasahau aisee.
When it comes to Arsenal, akili zenu zinageuka vima.Kuchukua ubingwa kwa point 82 ni sawa na kujiona kipanga kwenye darasa la vilaza. Fainali ya UCL naiona aibu kubwa sana inakuja kwa Gunners. Msimu wa 2018/19 ndo ilikua na title battle Bora kabisa. Point 97 na bado tukakosa ubingwa, sitasahau aisee.
Wachaa wee!! [emoji23][emoji23][emoji23]Tuliza boli kiwanja kidogo....
TAreh 30 ni keshokutwa tu hapo
Nileteee mahii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Au tukuletee kitambaa ushone gubeli
Siku hiyo utafute pakujificha..Wachaa wee!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sielewi kwanini mtu anaweza kua mjinga kwa makusudi.Ooooh sis arsenal tukibeba ubingwa utaona ,dunia nzima itatetemeka .....tunamashabiki wengi sana ....kummmmmke siku ya pili sasa tumeshasahau hata yao hayajui yanafanya nini mamamaeeeeeee h
Hii ilikua kumkumbusha Herzog arudi kupost kwakua uzi unakufa.Mwenzio Herzargo alichoka kujisemesha mwenyewe akaamua kuukimbia Uzi😅
Herzogg akakubali kweli amechoka kujisemesha.🤣🤣
Some life challenges tu kaka mkubwa ndio zinatupoteza humu, though na admit kwamba kujisemesha mwenyewe pia inakata stimu pakubwa.
It's just a click away kuhama uzi mmoja na mwingine. Haujaingia uzi wenu kwakua mmepambania kutoka relegation zone, mmetafuta mchawi, mmefukuza kocha hata baada ya kuanza kushinda hamna aliyekua anaamini.Huwezi amini nina zaidi ya miezi miwili sijaingia jukwaa letu kisa kuwasagia kunguni hawa jamaa ila bahati haikuwa upande wetu. Turudi kwetu tukamjadili Carrick wetu kama atatuondolea hii fedhea ya arsenal kuchukua ubingwa mkuu
Ungesahau usingekuwepo hapa kubwabwaja.Ooooh sis arsenal tukibeba ubingwa utaona ,dunia nzima itatetemeka .....tunamashabiki wengi sana ....kummmmmke siku ya pili sasa tumeshasahau hata yao hayajui yanafanya nini mamamaeeeeeee h
Kitambo ni Gunner, huoni hata ndoa yangu na bibi yenu imetulia kutokana na uwezo wa uvumilivu 😜Babu nawe mshika mitutu 😍
Vaa kwa raha zako, ni muda wetu wa kutamba sasa 💪Alooo nilikuwa navaa jezi huku nasimangwa kkoo. 😹😹😹
Hahaha....utakuwa umetisha mjukuu 😊Sasa watakoma week nzima hii nawavalia mpk wajute. Hapa naenda kununua na khanga nishone gauni kabisaa wanune 😹😹