fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,398
- 9,822
Huwezi amini nina zaidi ya miezi miwili sijaingia jukwaa letu kisa kuwasagia kunguni hawa jamaa ila bahati haikuwa upande wetu. Turudi kwetu tukamjadili Carrick wetu kama atatuondolea hii fedhea ya arsenal kuchukua ubingwa mkuuHata Aaron arsenal nae alikua mtemi sijui ndio huyu huyu masingeli.

