Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
 

Attachments

  • 20260520_191757.jpg
    20260520_191757.jpg
    74.8 KB · Views: 2
Kuna mwaka Fulani almanusura arsenal FC itwae kombe ila ikapotezaaa..

Kuna AHADI yangu kubwa nitachinja mbuzii kwa ajili ya celebration 🎊 maana miaka 22 sio mchezooo..

Nime ikumbuka arsenal ya ule msimu ikiitwa invincible 11
Maana arsenal ya 2003/2004 ilikua na kina jens Lehman ,David benkamp, Antonio Reyes, ovamars, Henry, wiltod, kolo toure, Fred ljumbeg, Peres, Lauren, sol cambel .
(Invincible 11)
Mkuu, kumbe wewe na Mimi tunaishabikia Arsenal. Aisee nimefurahi sana baada ya kugundua kuwa watu wengi humu ninaowaheshimu ni washika mitutu wenzangu 👏.
 
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
We fala shenzi nn mmmaae
 
Soonn tutaanza fukua makaburi

Haters kaeni kwa tahadhari
 

Attachments

  • 20250729_190834.jpg
    20250729_190834.jpg
    167.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom