Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Binadamu tunazaliwa wote tukiwa ni mashabiki wa Arsenal

Ila sasa njaa, rushwa, matumizi ya mihadarati na umaskini ndio unapelekea wengine kua nyumbu na kenge
 

Attachments

  • 20260520_020934.jpg
    20260520_020934.jpg
    101.7 KB · Views: 12
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
We fala shenzi nn mmmaae
 
Soonn tutaanza fukua makaburi

Haters kaeni kwa tahadhari
 

Attachments

  • 20250729_190834.jpg
    20250729_190834.jpg
    167.3 KB · Views: 11
Kwa kweli hongereni sanaaa!! Mkichukua na Yuefa, mbona itabidi nitafute Pa kujifichaa,
Waja wamenipania hadi naogopaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Na ujifiche kweli, maana itabidi tuwajutishe mliunanga sana 🤣
 
.
[/QUOTE]
Hatimaye deal ika
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
Matyako yako nguruwe pori, we si ulisema hatubebi kombe ila sasa hivi una payuka ka Umewekea pilipili makalioni.

Tulia dogo, hii ndio arsenal, semeni halafu tulieni wanaume tuwa onyeshe special, haram amazing football.

bookmark trh 30 mapema, uka shuhudie arsenal akicheza uefa final kiume haswa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom