Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

.
[/QUOTE]
Hatimaye deal ika
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
Matyako yako nguruwe pori, we si ulisema hatubebi kombe ila sasa hivi una payuka ka Umewekea pilipili makalioni.

Tulia dogo, hii ndio arsenal, semeni halafu tulieni wanaume tuwa onyeshe special, haram amazing football.

bookmark trh 30 mapema, uka shuhudie arsenal akicheza uefa final kiume haswa
 
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
😹😹😹 Basi usilie sana tutawapa hii ndoo mtutunzie..!!
 
Subira huvuta heri wana Gunners wenzangu

Hii safari haikuwa rahisi hata kidogo, tumeambiwa maneno mengi ya kutukatisha tamaa

Ambayo kwa sehemu kubwa yalichangia baadhi ya waliokuwa mashabiki wenzetu wa Arsenal kuhamia timu nyingine za Man City, Chelsea hata wengine kudiriki kwenda Newcastle utd

Kocha wetu amejitahidi sana kurudisha morale ya timu yeye pamoja na benchi lake la ufundi, katika miaka yake 8 akiwa kama Kocha wa timu ya Arsenal, tumeona Mikel Arteta akitumia mbinu mbalimbali kuanzia kucheza mpira wa kuburudisha wa Pep Guardiola hadi kuamua kucheza haram football wa José Mourinho

Iwapo tutafanya maboresho ya kikosi chetu hasa eneo la Kiungo cha Ukabaji na ushambuliaji, tukapata kiungo mshambuliaji mwenye jicho la mwewe kama la Mesut Özil ama Cesc Fàbregas nina amini tutaenda kuwa tishio kwa miaka 4 hadi 6 ijjayo, kwani timu yetu imesheheni wachezaji wengi vijana

Hongereni kwa kila mmoja wetu humu, the waiting is over now 💪

COYGs, Let's celebrate 🥂
Babu nawe mshika mitutu 😍
Alooo nilikuwa navaa jezi huku nasimangwa kkoo. 😹😹😹

Sasa watakoma week nzima hii nawavalia mpk wajute. Hapa naenda kununua na khanga nishone gauni kabisaa wanune 😹😹
 
😹😹😹 Nkamu em tulia kutesa kwa zamu..!!
Nifanyie free derivery ya cake ya Arsenal
Yaani nilitaka nishangae nisikuone hapa Nkamu 😂😂😂😂😂
Gundu la miaka 22 mmelitoa

Naomba location Nkamu
Mapema tu kesho🥰
 
Tycoon makaveli jr. El classico, diego simeone, thierry henry kichogo, mtakatifu cazorla.. fundi wa mpira, kiraka wa boli, kushoto natuliza, kulia nafinya, kushoto napasia
Nakubali mkuu 😂. Enzi hizo niliitwa Emmanuel Petit, kutokana na jadi yangu ya kukaba hadi kivuli uwanjani, ilikuwa ni ama mpira upite wewe ubaki au wewe upite mpira ubaki.
 
Saka:you are too good defensively
Arteta: come help us to win the league
Guehi; no i think more of internal damage
Saka; what yo mean man
Guehi; i will join city and do blunders in important match
 

Attachments

  • sddefault.jpg
    sddefault.jpg
    45.2 KB · Views: 5
Back
Top Bottom