Mkuu
fuentte Nashangaa mpaka saivi, sijamwona
Aaron Arsenal. Au tuseme ana multiple ID, jamaa ni moja ya die hard fans wa arsenal. Kwa kupitia michango yake mingi, kwenye hili jukwaa. Alikua sio tu mchambuzi wa mpira, Yani alikua na zile pigo za kiutafsiri, kama marehemu mkandala lufufu. Aliyekuwa mtafsiri wa action movie hasa kipindi cha mikanda ya (VHS). Aliponikosha sasa hadi kwenye masuala ya dini jamaa yumo.
Sijui ndio huyu huyu,
hamis77 masingeli. A.K.A kiraka kinachofiti kila sehemu, kuanzia kwenye mpira,dini na jukwaa la kimataifa. Sio kwa ubaya, niseme tu baadhi ya mashabiki wa arsenal, huwa mnaishi kwenye dunia yenu ya kipekee. Hawa watu inatakiwa warudi, na waendelee na michango yao kwenye ili jukwaa.
Mkuu tarehe 30, nikiwa kama mshabiki mwenzako wa man Utd, nitakua upande wa arsenal.