Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kati ya hawa wawili.. mmoja anaenda kuwa mchezaji bora wa msimu ndani ya arsenal.

wamba wamevuja jasho kinoma..
 

Attachments

  • 130fa.jpeg
    130fa.jpeg
    73.5 KB · Views: 12
  • images.jpeg
    images.jpeg
    24.6 KB · Views: 12
Asipochukua jee, acha atambe sasa, tukibeba na uefa tutamba zaidi..
Unataka aache kula kwa mama ntilie kwa kutegemea ubwabwa wa shughulini.. akikuta umeisha je ama mbichi [emoji23][emoji1787]
Nimechekaa sanaa, na ninaona wazi kuna mushkeli katika kunyanyua kwapa la UEFA.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe mjuba wa kutoka wapi tena? [emoji81][emoji81]
Ukisema hivyo mtu kanikamatia sipendi, yaani mimi ni yule mwali kigego km Arsenal sijali watu wanasema nini nafocus tu!! [emoji81][emoji81]

Wewe sema uko wapi nitume mtu afate..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom