Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,409
- 102,309
dah the end of the tunnel
Kaka Mimi na wewe damu zimeendana...na hii ipo ivyoo period..Mkuu, kumbe wewe na Mimi tunaishabikia Arsenal. Aisee nimefurahi sana baada ya kugundua kuwa watu wengi humu ninaowaheshimu ni washika mitutu wenzangu 👏.
Yoyote atakayepata ana-deserve, kushinda EPL sio kazi rahisi, kuna kila kitu kuanzia juhudi za kocha, wachezaji, marefa na bahati.kati ya hawa wawili.. mmoja anaenda kuwa mchezaji bora wa msimu ndani ya arsenal.
wamba wamevuja jasho kinoma..
Kwa niaba yako na Ba tamu, niwekee, [emoji23][emoji23][emoji23]ila Arsenyetoo mmeteseka vya kushatoooo. Lol[emoji81][emoji81][emoji81] Mapema nalo tunabeba..!!
Yaani hapa nataka kuweka order ya vijora vya Arsenal vipi na wewe nikuwekee??
Nimechekaa sanaa, na ninaona wazi kuna mushkeli katika kunyanyua kwapa la UEFA.Asipochukua jee, acha atambe sasa, tukibeba na uefa tutamba zaidi..
Unataka aache kula kwa mama ntilie kwa kutegemea ubwabwa wa shughulini.. akikuta umeisha je ama mbichi [emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mjuba wa kutoka wapi tena? [emoji81][emoji81]
Ukisema hivyo mtu kanikamatia sipendi, yaani mimi ni yule mwali kigego km Arsenal sijali watu wanasema nini nafocus tu!! [emoji81][emoji81]
Wewe sema uko wapi nitume mtu afate..!!
Tuliza boli kiwanja kidogo....Nimechekaa sanaa, na ninaona wazi kuna mushkeli katika kunyanyua kwapa la UEFA.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pilau jpili. Pila lenye nyama nyingi
Hamuamini mnachokiona liverkuku 😹😹Nampa oda kijana wangu😂😂😂😂
Mimi Sina nguvu kusherekea ubingwa wa ase8
Tulijua mnakosa kama kawaida yenu 😁
😹😹😹 Au tukuletee kitambaa ushone gubeliKwa niaba yako na Ba tamu, niwekee, [emoji23][emoji23][emoji23]ila Arsenyetoo mmeteseka vya kushatoooo. Lol
Unatumia painkiller ipi nikupatie mkuu! You're hurting sio poa!Hii time hata ikichukua epl huna cha kulingishia kwa timu kubwa kama man city ,man utd ,chelsea ,Liverpool, astonvilla .....sababu huna uefa, club world cup ,super cup ......very small team inayobweka tu 😄 🤣
Angalia image hizi 3, kisha sema ipi timu na ipi ndogo popoma wee.Siku ya pili yamechukua ubingwa hakuna lolote lililotoke....hayajui hata kushangilia dadekiii.....timu ndogo ni timu ndogo tu