HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,629
- 7,018
Hapo sasa Pep ndiyo atapata muda wa kutosha kushinda nyumbani na wife na watoto?Pep anakua mshauri wa City Football Group.
Angalia dominance itayotokea hapa
Hapo sasa Pep ndiyo atapata muda wa kutosha kushinda nyumbani na wife na watoto?Pep anakua mshauri wa City Football Group.
Angalia dominance itayotokea hapa
Tumetoka mbali kaka, tushatukanana sana humu, ban tumekula za kutosha hadi tukatishiana maishaHahahhaaha Kummmke computer arsenal huyu mtu umenikumbusha mbali sana, kipindi kina saka na smith rowe ndio wanaanza kuaminika, jamaa alikuwa anajua kulalamika huyu
Sawasawa shukrani mkuu kwa kuniweka kumbukumbu sawa.nahodha mkuu alikuwa ni patrick vieira ,ma nahodha wengine wasaidizi walikuwa ni thierry henry ,dennis bergkamp ,ashley cole na robert pires.
Yes parade ni jumapili tarehe 31 May saa 8 mchana kwenye kitongoji cha Islington kaskazini ya London.Kesho tunapata gwaride la heshima kutoka Kwa crystal palace " guide of honor"
Baada ya mechi tunapewa kombe
Parade tunakesha pale North London
COYG
Jamaa sijuii yuko wapi ana muda sijamuona humu.Tumetoka mbali kaka, tushatukanana sana humu, ban tumekula za kutosha hadi tukatishiana maisha
Acha tuenjoi ubingwa kwa sasaView attachment 3593575
Sikia, machozi usifute. Yakusanye humuYaani timu imebeba ubingwa haijatoa mchezaji bora wala mfungaji bora, ubingwa wa kiboya kuwahi kutokea.
View attachment 3594196
Aujiulizi ni sababu zipi zimefanya aliyetoa mchezaji bora wa mchongo na mfungaji bora qasichukue ubingwaYaani timu imebeba ubingwa haijatoa mchezaji bora wala mfungaji bora, ubingwa wa kiboya kuwahi kutokea.
View attachment 3594196
Kwa sasa chochote tutakachokisema hamtatuelewa kirahisi, Jumamosi PSG akishawatuliza tutaongea na mtatusikiliza vizuri
Kombe limekuja msimu mbaya kwa Jf , maana Wadau wengi hawapo na engagement imepungua . Sasa hivi unaweza kukaa wiki hata wiki na mechi zinachezwa Uzi haujavuka hata page 5 .Tumetoka mbali kaka, tushatukanana sana humu, ban tumekula za kutosha hadi tukatishiana maisha
Acha tuenjoi ubingwa kwa sasaView attachment 3593575
Yaani timu imebeba ubingwa haijatoa mchezaji bora wala mfungaji bora, ubingwa wa kiboya kuwahi kutokea.
View attachment 3594196
Oya UKAME mbaya sana mpaka namna ya kushangilia kombe hamjui.
Bruno amechukua vichwa vya habari vingi kuliko ubingwa wenu.
Kanunue panadol za kenya utulize maumivh ya kichwa.Yaani timu imebeba ubingwa haijatoa mchezaji bora wala mfungaji bora, ubingwa wa kiboya kuwahi kutokea.
View attachment 3594196
Kwanini haupo uzi wa Bruno upo uzi wa mabingwa? Hilo jibu kaa nalo mwanetuBruno amechukua vichwa vya habari vingi kuliko ubingwa wenu.
Maana ya Timu ndogo.