IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
One of the best false hopes of the season, hii false hope yako inabidi upokee taji la mauaJamaa anajifanya ana pumzi ya kutosha, mimi naamini with maturity and the right mentality tunao uwezo wa kupiga zote 13, paka yeye mwenyewe hapohapo kwao, afu tunamuacha acheze mpira sisi tunampiga set pices za kumkeraaa, na carabao tunampiga goli la kona moja tu afu tunashikilia bomba, this Arsenal team is Diego simeone on steroid
From 85% to +1GD hii ndio sababu tulikua tunawaita false hopers. Umeanza kuelewa sasa.Hapa labda tunye sisi tu.
Ila tuna 85% ya kuwa mabingwa wa EPL msimu huu.
Umeanza kuelewa kwanini pundits hawakuiweka arsenal nafasi ya kwanza, wewe uliona kama ni chuki lakini wenzako wanajua and even the world know Arsenal ni false hopers na si chuki kama mnavyohisi tunawachukiaHawa hapa ni pundits na journalists ambao walitabiri mshindi wa kwanza mpaka wa nne.
Hakuna ambaye aliiweka Arsenal nafasi ya kwanza. Sasa inabidi uelewe ni kivipi hawa watu wana chuki kali inapokuja mada ya Arsenal. Watasema namna ya kucheza watasema kona ila data zinawaumbua
View attachment 3560114
Mids ya kufukua makaburiiUmeanza kuelewa kwanini pundits hawakuiweka arsenal nafasi ya kwanza, wewe uliona kama ni chuki lakini wenzako wanajua and even the world know Arsenal ni false hopers na si chuki kama mnavyohisi tunawachukia
Kwamba hiyo EPL uliyotaja hapo sio domestic cup ama ndo huelewi maana ya domestic bora umeandika tuNaona umekimbilia kwenye chochote.
Ukisema chochote haifai maana utaleta vidomestic cups vyako hapa.
Man u Epl & UCL
Liverpool EPL&UCL
chelsea EPL & UCL
Arsenal ....... malizia mwenyewe
Haya itaje EPL kwa Arsenal tuone kama unaubavu huo.Kwamba hiyo EPL uliyotaja hapo sio domestic cup ama ndo huelewi maana ya domestic bora umeandika tu
Dah dunia inavituko sanaa
Hata tukiukosa ubingwa msimu huu Arteta haendi popote.Hivi Aaron Arsenal A.K.A hamis77 yuko wapi? Niliwahi mwambia tukikosa taji ile 2022/23 na 23/24 wachezaji watakua exhausted na morale itakufa. Hata saka nilisemaga atakua na majeruhi ya kutosha sababu ya kutumika sana kwenye mechi hata ambazo tunaongoza 5-0!!
Alibisha sana and the rest is history. Ni wakati tukubaliane Arteta sio kocha wa zama hizi aende La Liga ila kwa EPL hauwezi ukatumia mbinu moja miaka 5+ na utegemee ikuletee matokeo. Na msumari wa mwisho itakua kipigo kutoka kwa Atletico.
#ARTETAOUT
Siku hizi namuona kwenye majukwaa ya vita akiitetea IsraelHivi Aaron Arsenal A.K.A hamis77 yuko wapi? Niliwahi mwambia tukikosa taji ile 2022/23 na 23/24 wachezaji watakua exhausted na morale itakufa. Hata saka nilisemaga atakua na majeruhi ya kutosha sababu ya kutumika sana kwenye mechi hata ambazo tunaongoza 5-0!!
Alibisha sana and the rest is history. Ni wakati tukubaliane Arteta sio kocha wa zama hizi aende La Liga ila kwa EPL hauwezi ukatumia mbinu moja miaka 5+ na utegemee ikuletee matokeo. Na msumari wa mwisho itakua kipigo kutoka kwa Atletico.
#ARTETAOUT
Sio laana tu, hawa ni "Misukule ya Wenger"Daah sema wadau mnawaandama ssna Arsenyo.
Hii timu kama ina laana ya mzee Wenger.
Hawa Arse8 wanagombania kila kitu na wanakosa kila kitu.Kwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .
Kama kugombania msimu uliopita tuligombania kombe na tukashinda carabao cup! Tuligombania kitu tunagombania kweli .
Sio nyinyi takataka