Huko kwa chelkenge ulikuwa unafata nini, yani katika timu zote ukachagua chelshit 😂Inasikitisha sana mkuu 😂
Huyu kocha n tapeliChelkenge Mbaga Jr hapa mlikuwa mshakula 3-0, sasa kocha alikuwa ana ongea nini 😂 🤣
View attachment 3559383
Kocha anatuma barua ya mapenzi kwenye uwanja wa vita.Chelkenge Mbaga Jr hapa mlikuwa mshakula 3-0, sasa kocha alikuwa ana ongea nini 😂 🤣
View attachment 3559383
Huyu mwamba anacheza kama timu ya baba yake.Rice for the ballon'dor View attachment 3559402
Hizi timu zinachojua ni Low Block na kukamia kwenye ligi zikicheza na Arsenal, kimataifa chali. Atapigwa goli 8 huyu.Ila Newcastle 😅
Arsenal ikichukua ubingwa watu wengi wataumia Sana especially Obi Mikel,Patrice Evra,Paul Scholes na Robin Van PersieHawa hapa ni pundits na journalists ambao walitabiri mshindi wa kwanza mpaka wa nne.
Hakuna ambaye aliiweka Arsenal nafasi ya kwanza. Sasa inabidi uelewe ni kivipi hawa watu wana chuki kali inapokuja mada ya Arsenal. Watasema namna ya kucheza watasema kona ila data zinawaumbua
View attachment 3560114
Newcastle inapigwa chuma 7 hakuna mtu anaestuka, yani ni kitu cha kawaida sana mbona.Kuna imani, matarajio na uchizi
Mfano shabiki wa Liverpool anajua anaongozwa 1 na Galatasaray lakini anaamini na anatarajia kwamba lazima avuke.
Shabiki wa Chelsea kuongozwa tatu dhidi ya PSG na akasema atarudisha huyu hayupo kwenye imani wala matarajio. If they pulled it off tungesema hii ni ile madness ya football na kila mmoja angependa kilichotokea.
Shabiki wa Newcastle at 1 - 1 haamini na hatarajii timu yake kuifunga Barcelona. Hakuna shabiki wa Newcastle aliyechomoza kichwa na kudai atavuka. Humu yupo mmoja na yeye kazi yake ni kushinda jukwaa la Arsenal.
Hii timu ya Kizenge sana. Inapigwa goli 7 na huoni Mashabiki wakiumia kwakua kwao hata kuingia UEFA ni mafanikio tayari, kufuzu be damned.
Kocha wa Newcastle hana presha yoyote. Hadaiwi na mtu na mashabiki wanaona ni sawa tu.Newcastle inapigwa chuma 7 hakuna mtu anaestuka, yani ni kitu cha kawaida sana mbona.
Na hakuna mtu anayezungumzia.
Alafu kuna pimbi mmoja anakuambia bora ashabikie Newcastle kuliko arsenal
Muongeze Gary Neville na DrogbaArsenal ikichukua ubingwa watu wengi wataumia Sana especially Obi Mikel,Patrice Evra,Paul Scholes na Robin Van Persie