lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,483
Ikibeba ni kwa sababu ya longballs, setpieaces, kukumbatia timu pinzani wakati wanapiga kona yao ili wasiruke na kufunga, wanapaki mabasi na makontena. Arsenal midfield yenu mbovu sana Declan rice hawezi kupiga pasi na Submendi naye kiunmgo hovyo na nndio maana Arsenal hawawezi kucheza open play. Kusababisha set pieaces tu ili wabahatishe kufungaScholes na wenzake huwa wanasumbiliwa tu na wivu, usidhani Wana lolote la maana ambalo linaweza Fanya watu wawasikilize.
Anasema Arsenal itakuwa the worst team kushinda EPL wakati Manchester United iliwahi shinda league kwa point 75 pekee