Naskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele 😂Acha ufala kenge mavumbi, arsenal iko gado we are ready to take the trophy 🔥
Wakishinda wanamuita RICE ila wakifungwa wanamuita MCHELENaskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele 😂
Leo draw au ushindi wa chelkenge ni muhimu.Naskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele 😂
Sisi chelkenge hatutaki ushindi wala draw, usitulazimisheLeo draw au ushindi wa chelkenge ni muhimu.
Natabiri ka siku ile, Chelsea win or draw.
Kwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .Kenge Labyrinth 84 anaifuatilia Arsenal kuliko anavyoifuatilia Nyukeso yake.
Ukute hata hajui kama wamepigwa huko na Palace😅
Sio mara ya kwanza kulia lia, boya wee.Sisi chelkenge hatutaki win wala draw, msitulazimishe
Chelkenge tupo uwanjani sasa kufungwa na huna la kutufanya 😂Sio mara ya kwanza kulia lia, boya wee.
Usimfananishe agent wetu wa man City na huyo mchele wenu, agent Wa city amefanya kazi nzuri sana leo kufunga goli la tatu 😂Sielewi ni kivipi Chelsea hajaungana na Spurs kwenye relegation kule. Tukisema timu mbovu tunaanzns kuambiwa Caicedo mzuri kuliko Rice