Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,137
- 3,274
Pia mwanangu computer arsenal kimya kimekua kingi sanaKuna mwana mmoja sijawahi kumuona tangu ile Oktoba 29 ipite, anatumia ID ya HENRY14, kama yupo hai nitashukuru sana kwa ajili yake
Pia mwanangu computer arsenal kimya kimekua kingi sanaKuna mwana mmoja sijawahi kumuona tangu ile Oktoba 29 ipite, anatumia ID ya HENRY14, kama yupo hai nitashukuru sana kwa ajili yake
Nadhani ndio timu ya kwanza kuwatambua upinde waziwazi ndio maana mambo hayawaendei vizuri sanaDaah sema wadau mnawaandama ssna Arsenyo.
Hii timu kama ina laana ya mzee Wenger.
Naskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele 😂Acha ufala kenge mavumbi, arsenal iko gado we are ready to take the trophy 🔥
Wakishinda wanamuita RICE ila wakifungwa wanamuita MCHELENaskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele 😂
Leo draw au ushindi wa chelkenge ni muhimu.Naskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele 😂
Sisi chelkenge hatutaki ushindi wala draw, usitulazimisheLeo draw au ushindi wa chelkenge ni muhimu.
Natabiri ka siku ile, Chelsea win or draw.
Kwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .Kenge Labyrinth 84 anaifuatilia Arsenal kuliko anavyoifuatilia Nyukeso yake.
Ukute hata hajui kama wamepigwa huko na Palace😅
Sio mara ya kwanza kulia lia, boya wee.Sisi chelkenge hatutaki win wala draw, msitulazimishe
Chelkenge tupo uwanjani sasa kufungwa na huna la kutufanya 😂Sio mara ya kwanza kulia lia, boya wee.