Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelkenge leo lazima tufungwe na Man City, hatutaki ushindi wala draw

Tunataka kupigwe chuma tatu

IMG-20260412-WA0004.jpg
 
Kenge Labyrinth 84 anaifuatilia Arsenal kuliko anavyoifuatilia Nyukeso yake.

Ukute hata hajui kama wamepigwa huko na Palace😅
Kwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .
Kama kugombania msimu uliopita tuligombania kombe na tukashinda carabao cup! Tuligombania kitu tunagombania kweli .

Sio nyinyi takataka
 
Back
Top Bottom